Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yalifunuliwa mara 1,picha zikapigwa 71haiwezekani afunuliwe mara 71 bila kushtuka hata mara moja
huu ni uongo
bwana usiogope,sie wanawake pia hua tunapenda sana kugusa na kuangalia body shapes za wanaume wetu.Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu[emoji3590][emoji3590] asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)[emoji24][emoji24][emoji24] yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Ila Kuna watu wannalala vipi sijui unaweza mshika unavyotaka akiwa ni sampuli hii basi tena
Nadhani mke wa Mtunisia mweusi ni BRAZA CHOGO au Mshangazi kwa sababu hakuna mtanzania mwingine mwenye tabia kama zile.Ila Kuna watu wannalala vipi sijui unaweza mshika unavyotaka akiwa ni sampuli hii basi tena
Sasa analala uchi mpaka wife kapiga Haga picha na kama ni boxer huyo mke ana ujasiri gani wa kumshusha boxer na hakuna ajenda ya kuchakata??
Na mkewe anatafuta nini kwenye matako ya jamaa ama ana mzigo wa haja ?
Ama ukute mke ana mchepuko ko wakati anam chakata ana mwambia ngoja nikunyooshe na nataka picha za makalio ya mumeo hapa 😂
😅😅😅Wanawake sijui wanaambiana nini kuhusu makalio yetu wakiwa kwenye vikao vyao. Kuna mwingine aliwahi kushtuka usiku akakuta mkewe ana mmulika na tochi matakoni.
Tuwekee tuoneJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Wanawake sijui wanaambiana nini kuhusu makalio yetu wakiwa kwenye vikao vyao. Kuna mwingine aliwahi kushtuka usiku akakuta mkewe ana mmulika na tochi matakoni.