bado sijaamua ndugu, naumiza kichwa sana, yaani naumia sana, ndio maana nimeweka hapa mnishuri
Kama kweli vileleee!!!!Let me not fall into this kind of sin!!!.
too bad. pole dadiito
bado sijaamua ndugu, naumiza kichwa sana, yaani naumia sana, ndio maana nimeweka hapa mnishuri
Nipe concept zaidi, hapo highlighted red front and italic. Unamaanisha nimpige hadharani au nimshushe kishipa....Huyo inabidi arudie kiapo cha uaminifu halafu baada ya hapo mpige mkwara: kwamba utafuatilia nyendo zake, na siku ukigundua kuwa anakusaliti utamwangamiza. Hakika hawezi kurudia tena. Jipe moyo kwamba haja-sex na huyo jamaa. Ila ningekuwa mimi ningemsaka huyo 'mwizi' na kumshikisha adabu. Tuliza munkari, endelea na mkeo mpenzi.
Nikawasha moto nyumbani hapo, amekili kua ni mpenzi wake ila hawaja sex.....
Hizi za kuona thread nyingine na kuanzisha something similar zinakera sana siku hiziJamani naitaji msaada mkubwa sana, wa mawazo na saikolojia. Mimi nina mke nimezaa nae. Tangu tufunge ndoa ni miaka 4 sasa.
yeye yuko Mkoani mimi niko chuoni Dar es Salaam kimasomo elimu ya juu. Wiki za nyuma kabla ya sikukuu ya Idd mawasiliano na mke wangu yaliyumba sana, yalitawaliwa na kiburi sana.
Nimeenda kwenye sikukuu ya Idd ndio nikagundua usaliti. Mke wangu alikua bize sana na simu, pia alikua anaificha sana tofauti na mwanzo, haitoki mkononi kila mara anaandika msg. Nikaiwinda nikashindwa.
Siku moja alitoka kazini akanisalimia akakaa kidogo sitting rum kisha akaenda chumbani mida ya saa 1 usiku. akazima taa kajifunika blanket. Mi nikaingia chumbani nikawasha taa. Nikamuuliza mbona umelala saa hizi, sio kawaida? akajibu' nilipokua natoka job nimejigonga mguu unauma...., nikamjibu poa. Nikamwambia ' naomba simu yako" akakataa katakata na sikujua iko wapi. akasema wewe ya nini si unayo yako? nikamwambia ninashida nayo, akasema nenda ntakuletea zima na taa...
nikatoka chumbani sikuzima taa, nikarudi nikakuta kazima tena na kajifunika kama mwanzo. Nikatumia nguvu nikampekua nikamnyang'anya simu. Baada ya kumnyang'anya nikawa nayo mimi, baada ya muda kidogo ikaingia msg inasema "Thanks hny"
Nikaandika msg kumuuliza ' nitakuona kesho dia?' akajibu hivi " tutapanga mpz". Nikawasha moto nyumbani hapo, amekili kua ni mpenzi wake ila hawaja sex..... Naombeni ushauri maana sijaamua kitu mpaka sasa, ingawa nimeshatembeza kichapo sana... kuendelea kuishi nae naona sitakua na amani maana hapa nilipo niko dar yeye yuko mkoani.... sina imani nae tena.....
Hizi za kuona thread nyingine na kuanzisha something similar zinakera sana siku hizi
kasoma ile sredi ya lasting relationship versus mobile phones mamiiaaisee Kipusi una hasira za maamuzi ya haraka saaana.... Yaani na kichapo tayari!! Dah! Enways...
Miaka mne ni mingi saana kukaa mbali na mwenza, ni hatari kwa afya ya ndoa. Kikubwa ilitakiwa usimtreat kama mtoto mdogo - Maamuzi ya kufanya inategemea saana wewe maamuzi yako kama bado unapenda awe katika maisha yako ama lah! Ukijua nini unataka inatakiwa nae pia ukae nae na kumuuliza na kumwambia kua Ok - Unaelewa kua ana mtu, sasa nini msimamo wake...
Siku nyingine hata kama una wasi wasi na mtu, akikuambia naumwa.... Toa walau hata pole jamani.. yaani unajibu 'pouwa' kweli... Alafu bana mkeo kisha lala na jamaa ni aibu tu anaona ku admit kwako; hivo chagua kusuka ama kunyoa...
very ok dear... jukwaa linayumba mazeeMTM
Mbona ni rahisi sana kwako kukereka? Are you okay?