Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #61
Acha utani bhana
Na kama jamaa hapigi nae basi ajue akija huku nje wapo wahuni wanapita nae kwenye hiyo siriiisamuMkeo ni mtaalam mbobevu mashuhuri wa maswala ya threesome.
Nimeipenda kazi yako ya Fasihi andishi π
Anasaidiwa kwenye Hilo anadai yeye ni mtibeli Mambo hayo hana hayajuiNa kama jamaa hapigi nae basi ajue akija huku nje wapo wahuni wanapita nae kwenye hiyo siriiisamu
Vitoto vya JF kazi kweli
Mlo mmoja unababia kwa shemeji ukishiba unakuja kucheua humu
Dah mambo magumu sana haya
πππ Akija stuka manyoya yamekwishaAnasaidiwa kwenye Hilo anadai yeye ni mtibeli Mambo hayo hana hayajui
Mda Sana anamfariji achukue robot ili mizani ibalance ππππ Akija stuka manyoya yamekwisha
Sehemu gani hiyo?πIpo sehemu moja mnaniweza Sana. Hapo Kwa kweli sinaujanja
Sehemu gani hiyo?π
Au nimekoseaππ
Asiyeelewa maana haambiwi maana.Kwamba ni msagaji na sijui?
Utazuwia vipi, likishakuwa nyunbani kwako?Huo kwangu nitauhesabu kama mtego. Na siwezi kukubali itokee
Elimu ya kutosha ndiyo ipi?Anaelimu ya kutosha tuu. Ya kiwango cha Karne Hii.
Elimu ya kutosha ndiyo ipi?Anaelimu ya kutosha tuu. Ya kiwango cha Karne Hii.
Utazuwia vipi, likishakuwa nyunbani kwako?