Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Kwa uzembe Luna siku atataja TANGO
 
Mimi imenitokea Juzi Tena tupo sehemu tuu tunapiga story za mipango ya kwenda kunyandua nikasikia Devi.Sasa kabla sijamuuliza akasema Devi ni Mdogo wake wamezoeana wakiwa wanapiga story huwa anapenda kumtaja. Akajua nimechukia kusikia jina la mtu mwengine tofauti na aliyenaye pale.Ki ukweli Dada alitoka mchezoni wakati Mimi sikuwaza Sana.Lakini Kama angetaja wakati wa Kupokea gegedo NADHANI shughuli inaweza kuishia hapo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…