Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Daaaahhh, Alex alikuwa anakuja kula kila siku mpaka tigo.
Unaweza kuua mtu kimasihara
Yaani kapoteza hisia kwako anazivutia kwa Alex.
Wanawake mtuonee huruma basi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ina maana ulioa ukiwa chini ya miaka 24 na Manzi akiwa chini ya miaka 23 ,, aisee huwa mnakimbilia Nini katika hizo ndoa

BTW - POLE Kwa ku-tomb................ Mkuu
 
Amtie adabu uyo kijana[emoji4]
Ifike mahali vijana waheshimu Mali za watu
Kijana kosa lake lipi Sasa !? [emoji16][emoji16][emoji16]

Mwanaume mtu wa tamaa , hutongoza tongoza tu hovyo , shida ipo kwa anaye tongozwa cuz hakulazimishwa kukubali au akishikiwa kisu !?
 
Me nadhani ni watu wazima kumbe bado makinda kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]maisha yaendelee
Mimi mwenyewe nilidhani ni wakubwa , kumbe Ni ma junior katika hii sekta ndio maana wamepigwa na tukio la usaliti daahh!! [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Ukiona manyoya ujue tayari [emoji3]
 
Ukirudi anza kukagua kwanza marinda ya my wife wako, hakikisha marinda yote 32 yamekamilika hakuna hata moja lililopotea.
Bodaboda huwa wanapenda kuwafanyia michezo michafu sana wake za watu, yaani wanahakikisha mpaka mkeo anakua addicted, asipomuona Alex ndani ya siku mbili anakua na alosto ya hatari.

Dah mambo gani hayo ya kwenda kucheza na tope
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Kamba hii
 
Back
Top Bottom