Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

wivu na wasiwasi ndo unakusumbua

ni vp kama alisema ‘aisss’ na siyo alex??

au kwa kuwa alex anapita na wake za watu hapo mtaani

wanaume mnaongoza kwa kutokujiamini

Masuala yakujiamini weka huko, unajua ni kiasi gani antena za masikio ya mwanaume hufanya kazi wakati wa tendo?. Kosea hata uongee kimoyomoyo tutajua tu.

Alex kashapiga hat trick hapo, aamua atakavyo yeye na aangalie what's best kwake?. Kusamehe ni rahisi kusahauu sasa
 
Nimeisoma kwenye kitabu kinaitwa A man of the people,Mdada alikua anagegedwa na jamaa,akamtaja nwanaume mwingine,ikaja ikanitokea namimi pia,namgegeda mwanamke,akataja jina la jirani yangu.Hiyo ni sifa ya mwanamke msaliti yeyote.Huwa wanajisahau na hukana kutaja hayo majina ukiwauliza.
 
Nimeisoma kwenye kitabu kinaitwa A man of the people,Mdada alikua anagegedwa na jamaa,akamtaja nwanaume mwingine,ikaja ikanitokea namimi pia,namgegeda mwanamke,akataja jina la jirani yangu.Hiyo ni sifa ya mwanamke msaliti yeyote.Huwa wanajisahau na hukana kutaja hayo majina ukiwauliza.
Jirani alikulaa vizurii ujuee...
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Fukuza huyo malaya haraka sana kabla hajakuua na magonjwa ya hovyo hovyo
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Hivi haya maisha rahisi ni Tanzania nzima?
 
sasa unakuja kuuliza majibu humu? ukisikia nyau nyau ujue paka huyo alaaaah , chezeiya alex wewe , ukiona manyoya ujue kaliwa huyo. Jipange na wee unyandue beki tatu hakuna namna mzee
 
Peleka moto tu, acha kusikilizia sana…. unapunguza utraaamuu.[emoji39]
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Nabii mwamposa yuko humu Jf , Ngoja atoe ushauri
 
Ukute alisema tu Aissexxx(Wananenaga kwa lugha wale )kwa utamu ila sasa sababu unahisi Alex ni mwanaume mwenye uwezo mkubwa wa kutembea na mkeo ukasikia Alex.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yaani heading tu kabla sijasoma Uzi imenifanya nicheke ,daahh !!!
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Alex nyoko Sana [emoji16][emoji119][emoji119][emoji16]
 
Huyo Alex alikuwa anamkunja mkeo, peleka Sana moto, nyonya Sana, kampiga mashine mpaka mkeo anafika mlima Kilimanjaro juu ...chezea Alex wewe ..
Oyaaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]

Utamuua mwenzio kwa pressure
 
Back
Top Bottom