Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Hivi humu hamna I'd inayoanza na ALEX?,
emoji848.png
Alex Alexander
Alex Amos Christian
Alex Dennie
Alex Domician
Alex ES79
Alex Fredrick
Alex Gk
ALEX KIBWIGILI KIMOLI
Alex korosso
Alex Ludzabiko

Hoya planexboi Hawa ndio MABAHARIA WENYEWE.

#YNWA
 
UPDATE

huyu mwanamke leo jion nimeongea nae kwa kina sana ,kwa aibu kubwa amekiri na ametubu kuwa hatorudia .

(nimembananisha maswali ya mitego hadi amekiri kutembea na alex siku 4 kabla ya mimi kurudi)nadhan amekiri kwa kuhofia kuachana

nimekaa kwa muda wa takribani dk 15 nikitafakari juu ya kumsamehe ila nafsi imegoma,

nimemshukuru kwa kuwa mkweli,alex sina shida nae kwakuw hakumbaka,ni makubaliano ya wao wawili,

nimemsamehe ila nimemwambia kesho kutwa aende nyumban kwao au kwa rafik yake mkubwa ntamfuata hapo badae ,amelia sana ila ndo hivyo siwez kuish na msaliti,roho yangu haiwez kukubali

wakuu nimeamua kumpiga chini ila sijamwambia kama ndo tunaachana.

NB,Hajui kama ndo tunaachana

KUCHAPIWA MKE KUNAUMA MNO,alex sitomfanya kitu kwa sbb mke angeweka ngum jamaa angenyoosha mikono kuashiria kushindwa.

siwezi kufos hisia.

nina miaka 24, yeye ana 23.

SIDHANI KAMA NITAOA HIVI KARIBUNI
Nasubir mrejesho wa jion

#DONE
 
inawezekana umeskia vibaya au umeskia ulichotaka kuskia sababu kuna vitu vilishakupa hint

Jf siku hizi chai nyingi...ni kunywa tu na kwenda kususu mbele ya safari!!!!

pole sana bro,pigs moyo konde okoa ndoa,mtazame tofauti now mkeo,nn anakosa from u.
UPDATE

huyu mwanamke leo jion nimeongea nae kwa kina sana ,kwa aibu kubwa amekiri na ametubu kuwa hatorudia .

(nimembananisha maswali ya mitego hadi amekiri kutembea na alex siku 4 kabla ya mimi kurudi)nadhan amekiri kwa kuhofia kuachana

nimekaa kwa muda wa takribani dk 15 nikitafakari juu ya kumsamehe ila nafsi imegoma,

nimemshukuru kwa kuwa mkweli,alex sina shida nae kwakuw hakumbaka,ni makubaliano ya wao wawili,

nimemsamehe ila nimemwambia kesho kutwa aende nyumban kwao au kwa rafik yake mkubwa ntamfuata hapo badae ,amelia sana ila ndo hivyo siwez kuish na msaliti,roho yangu haiwez kukubali

wakuu nimeamua kumpiga chini ila sijamwambia kama ndo tunaachana.

NB,Hajui kama ndo tunaachana

KUCHAPIWA MKE KUNAUMA MNO,alex sitomfanya kitu kwa sbb mke angeweka ngum jamaa angenyoosha mikono kuashiria kushindwa.

siwezi kufos hisia.

nina miaka 24, yeye ana 23.

SIDHANI KAMA NITAOA HIVI KARIBUNI

Washamaliza.

NDOA kama NDOA.

#YNWA
 
Wakat unamtia alikuwa anavuta picha anatiwa na alex, (seems huwa wanatiana) bahat mbaya akamtaja pasipo kuwa na control yake
 
Cha Kusikitisha sana ALEX hana maisha yanii[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27] Mkeo anatakiwa arudi kwao asubiri kupata mwanamme mwingine wa maana..!! Wanawake akili zao sijui zikoje anachepuka na mwanaume wa ovyoo...
Hapo ukute Alex alipewa usichopewa, naekampa usichompa. Ukisamehe na huo mtaa uhame kabisa sababu maji hayasahau baridi. Ukisafiri tuu jamaa anaingia mzigoni
 
Yaani mwanamke akishachepuka usiwah kumsamehe kaka. Ukiwaza kumsamehe ww kumbuka kuna mda ilitoka bahati mbaya...akaichukua yeye mwenyew akairudisha ndani halaf kasogea kwa chini ili isitoketoke[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Huwez msamehe!
Nakubali mkulungwa ukweli usemwe
 
wivu na wasiwasi ndo unakusumbua

ni vp kama alisema ‘aisss’ na siyo alex??

au kwa kuwa alex anapita na wake za watu hapo mtaani

wanaume mnaongoza kwa kutokujiamini
 
mkewangu kanitumia sms nying sana za kuomba msamaha nimepiga kmya,sauti ya kumtaja alex niliisikia kwa umakini mno ,
Ushauri wangu Kama anakuomba msamaha fanya Jambo moja tu ili umsamehe akuambie ukweli wote then msamehe ila akikudanganya achana nae maana anakuzuga,, kwa imani yangu akiweza kukuambia ukweli maana yake amekiri kosa na analijutia hawezi rudia lakini akikudanganya tafsuri yake ni kwamba anakupoteza ili aendelee kukusaliti
 
Alex Kamgongaaa tena siku za karibuni tuu...!! Yani hakuna namna Mwanamke au mwanaume anaweza mtaja Mtu mwingine wakati mnatiana na Hawajagongana.. HAIPOO...HAIPOO

ALEX KAMT....BA MKEO.
Usikute Alex amekula kimasikhara kabisa na kashatoa story kwenye uzi wetu pendwa
 
Mi naona hapo tarizo siyo alex kumega mkeo. Tatizo ni elex kujulikana kwa tabia ya kula wake za watu. Kwanini usiashumu tu wife alitaja jesus ukasikia vibaya ili uupe amani ya uongo moyo wako ndugu
...inawezekana alitaja neno lingine na kwa kuwa wewe uliishasikia Alex anakula wake za Watu ukahisi kama Mkeo ameita Alex, kumbe la !
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Atakua yule kocha wa man u babu alex,mkeo ni shabiki wa man u
 
Back
Top Bottom