Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Copy That.Copy that !
We are sending alpha team
Do not engage I repeat don't engage
Over and out!
Show no mercy! I repeat show no mercy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Copy That.Copy that !
We are sending alpha team
Do not engage I repeat don't engage
Over and out!
Itakua ki masiharaAlex Kamgongaaa tena siku za karibuni tuu...!! Yani hakuna namna Mwanamke au mwanaume anaweza mtaja Mtu mwingine wakati mnatiana na Hawajagongana.. HAIPOO...HAIPOO
ALEX KAMT....BA MKEO.
Shida sanaa mkuu...!!Itakua ki masihara
Alex inabid aonywe tabia ya kutembea na wake za watuWeek mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.
Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.
Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.
ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.
Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
All weapons directed to the culprit. I repeat sniper... Do you copy?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] wee jamaa mwehu sanaa
Yes officerAll weapons directed to the culprit. I repeat sniper... Do you copy?
Weee mwanamke akiachwa akili zinamrudiaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alex kama hana maslahi yani atachukiwa milele yoteUkimuacha ndio Alex anaendelea kula
Sio woteWeee mwanamke akiachwa akili zinamrudiaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alex kama hana maslahi yani atachukiwa milele yote
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787]Nakwambia labda alex awe vizuri kimaslahi... Kwa sasa pagumi ila mdada kija kupata direction huko mbele bhasi fresh au alex akubali kumchukua waishi woteSio wote
Yaani miaka 24 unaoa?aisee hua mnawahi wapi na hizo ndoa?UPDATE
huyu mwanamke leo jion nimeongea nae kwa kina sana ,kwa aibu kubwa amekiri na ametubu kuwa hatorudia .
(nimembananisha maswali ya mitego hadi amekiri kutembea na alex siku 4 kabla ya mimi kurudi)nadhan amekiri kwa kuhofia kuachana
nimekaa kwa muda wa takribani dk 15 nikitafakari juu ya kumsamehe ila nafsi imegoma,
nimemshukuru kwa kuwa mkweli,alex sina shida nae kwakuw hakumbaka,ni makubaliano ya wao wawili,
nimemsamehe ila nimemwambia kesho kutwa aende nyumban kwao au kwa rafik yake mkubwa ntamfuata hapo badae ,amelia sana ila ndo hivyo siwez kuish na msaliti,roho yangu haiwez kukubali
wakuu nimeamua kumpiga chini ila sijamwambia kama ndo tunaachana.
NB,Hajui kama ndo tunaachana
KUCHAPIWA MKE KUNAUMA MNO,alex sitomfanya kitu kwa sbb mke angeweka ngum jamaa angenyoosha mikono kuashiria kushindwa.
siwezi kufos hisia.
nina miaka 24, yeye ana 23.
SIDHANI KAMA NITAOA HIVI KARIBUNI
Hata Yesu alisema hakuna talaka isipokuwa kwa sababu moja UZINZI tu. Usaliti hauvumiliki huyo keshazoe kufanya ngono na kanogewa na AlexKuweni makini na ushauri mnaotoa humu. Hii ni ndoa mjue