Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
inawezekana umeskia vibaya au umeskia ulichotaka kuskia sababu kuna vitu vilishakupa hint
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roger RogerMan down I repeat man.
Do you copy that?
We've been hit, we need backup!
Mwafilombemimi jina langu ni la kilugha kwa hyo ni ngum kusema alikosea kutamka
Duuuh. Na mmeishi Pamoja kwa muda gani.UPDATE
huyu mwanamke leo jion nimeongea nae kwa kina sana ,kwa aibu kubwa amekiri na ametubu kuwa hatorudia .
(nimembananisha maswali ya mitego hadi amekiri kutembea na alex siku 4 kabla ya mimi kurudi)nadhan amekiri kwa kuhofia kuachana
nimekaa kwa muda wa takribani dk 15 nikitafakari juu ya kumsamehe ila nafsi imegoma,
nimemshukuru kwa kuwa mkweli,alex sina shida nae kwakuw hakumbaka,ni makubaliano ya wao wawili,
nimemsamehe ila nimemwambia kesho kutwa aende nyumban kwao au kwa rafik yake mkubwa ntamfuata hapo badae ,amelia sana ila ndo hivyo siwez kuish na msaliti,roho yangu haiwez kukubali
wakuu nimeamua kumpiga chini ila sijamwambia kama ndo tunaachana.
NB,Hajui kama ndo tunaachana
KUCHAPIWA MKE KUNAUMA MNO,alex sitomfanya kitu kwa sbb mke angeweka ngum jamaa angenyoosha mikono kuashiria kushindwa.
siwezi kufos hisia.
nina miaka 24, yeye ana 23.
SIDHANI KAMA NITAOA HIVI KARIBUNI
UPDATE
huyu mwanamke leo jion nimeongea nae kwa kina sana ,kwa aibu kubwa amekiri na ametubu kuwa hatorudia .
(nimembananisha maswali ya mitego hadi amekiri kutembea na alex siku 4 kabla ya mimi kurudi)nadhan amekiri kwa kuhofia kuachana
nimekaa kwa muda wa takribani dk 15 nikitafakari juu ya kumsamehe ila nafsi imegoma,
nimemshukuru kwa kuwa mkweli,alex sina shida nae kwakuw hakumbaka,ni makubaliano ya wao wawili,
nimemsamehe ila nimemwambia kesho kutwa aende nyumban kwao au kwa rafik yake mkubwa ntamfuata hapo badae ,amelia sana ila ndo hivyo siwez kuish na msaliti,roho yangu haiwez kukubali
wakuu nimeamua kumpiga chini ila sijamwambia kama ndo tunaachana.
NB,Hajui kama ndo tunaachana
KUCHAPIWA MKE KUNAUMA MNO,alex sitomfanya kitu kwa sbb mke angeweka ngum jamaa angenyoosha mikono kuashiria kushindwa.
siwezi kufos hisia.
nina miaka 24, yeye ana 23.
SIDHANI KAMA NITAOA HIVI KARIBUNI
I hope akikaa mbali naye kwa muda watamisiana kisha wataombana msamaha na kuanza upya.Iseee , shughuli ndio imeisha hivi?!
Nimecheka kwa nguvu....x wangu kaingiaje hapo sasa nawe😂Wee sii ulisema ex wako kakuroga period kila wikend ama inakuwaje?
Sasa inakuwaje unapata period kila wikend kama sio ex kufanya yake kwa sangomaNimecheka kwa nguvu....x wangu kaingiaje hapo sasa nawe😂
Ni masihara tu hayo usiniache gizan mwenzio ...si ulisema singlemom unatafuna tu mbususu? Nn kunikimbia mwenzio sasaSasa inakuwaje unapata period kila wikend kama sio ex kufanya yake kwa sangoma
Usijali bby mbususu yako nitaitendea haki pasipo shaka. Wacha nikujeeNi masihara tu hayo usiniache gizan mwenzio ...si ulisema singlemom unatafuna tu mbususu? Nn kunikimbia mwenzio sasa
Kuna gari inaitwa Toyota Allex. Itakuwa anapanga kukununulia,anaiwaza sanaWeek mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.
Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.
Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.
ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.
Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
SawasawaUsijali bby mbususu yako nitaitendea haki pasipo shaka. Wacha nikujee
Uchochezi huu mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Alex alikuwa anamkunja mkeo, peleka Sana moto, nyonya Sana, kampiga mashine mpaka mkeo anafika mlima Kilimanjaro juu ...chezea Alex wewe ..
Amtie adabu uyo kijana[emoji4]We mbona unataka kumfanyia kitu kibaya huyo barobaro wako,kwa nini usidili na huo mchepuko wako?unamshauri nini mwenzio
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.
Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.
Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.
ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.
Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau