Shanily
JF-Expert Member
- Nov 4, 2024
- 856
- 1,662
Ukiwaza mambo ambayo hayapo ndo utata unaanza.Rejerea mada juu.
am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee
Maswali najiuliza ni haya
1. Ameweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.
2. Kwa nini asinishirikishe hata kama niko mbali.
Kusema kweli mke wangu sio mjuaji, wala wa kujikuta born town wala sio mtu wa tamaa kivile na pia ni mvumilvu ila kwa hili sijui nini kimemshawishi.
Nikiwa kama victim nahitaji ushauri jamani. siwezi kunyamaza huku naumia
Suluhisho muulize kwanini kaweka wakati haupo!?. Na kwanini hakukushirikisha!?. Huenda majibu yake yakawa na mashiko.
Usihukumu moyoni kabla hujamuuliza.
Weka meza ya majadiliano baina yenu.
Mara nyingi wanawake hufata mikumbo kwa mashoga wa mitaani , au elimu ya kuweka Hakuwa nayo ndo kaipata akaona atumie fursa hiyo kbsa. Kwahy mwenye majibu Kamili ni muhusika.