Waliopo kwenye hiyo biashara wanaona gere kwa siopo huko kutwa kucha kushauri vijana ambao wengine hawajapevuka vzr kuwajua wanawake, kutofautisha faida na hasara za ngono waingie huko kwa msukumo wa dini sijui tamaduni na blaablaaa nyingine ambazo sio za msingi.Kufuga mwanamke ni risky sana inaonekana.
Mtu hajui vizur hata aina za nyuchi na utamu wake,unamshauri vp aingie kwenye ndoa😄😄😄
Vijana wajifunza kutofautisha uhitaji wa ndoa na ashki(nyege) itawasaidia kuchagua wanawake wakuoa na kuachana na malaya.