Mke wangu amezidisha dharau

Mke wangu amezidisha dharau

Kufuga mwanamke ni risky sana inaonekana.
Waliopo kwenye hiyo biashara wanaona gere kwa siopo huko kutwa kucha kushauri vijana ambao wengine hawajapevuka vzr kuwajua wanawake, kutofautisha faida na hasara za ngono waingie huko kwa msukumo wa dini sijui tamaduni na blaablaaa nyingine ambazo sio za msingi.
Mtu hajui vizur hata aina za nyuchi na utamu wake,unamshauri vp aingie kwenye ndoa😄😄😄
Vijana wajifunza kutofautisha uhitaji wa ndoa na ashki(nyege) itawasaidia kuchagua wanawake wakuoa na kuachana na malaya.
 
Naungana na ninyi watu wa pwani,
Cc mpka sokoni tunaenda wenyewe

Me mke wng hajui ata matumizi ya sokoni yanafanywaje siku ata nikimpa laki aende basi bado atarudi na kasoro ya vitu vyengin hajanunua ni kwa sabab sio mazoea yake kwenda sokoni
 
wewe itakua una show mbovu ndio maana anamkumbuka ex wake na dharau kwako, piga chini huyo ni mke wa watu.
 
Nahisi kuna uhitaji wa kuenda semina za ndoa kabla ya kuingia ndani na kuishi na mume/mke,maana hali hii iko pahali pengi sana,yaani kati ya ndoa 100, zenye afadhali ni 12,nyingine zote,pangu pakavu tia mchuzi. Nendeni semina ninyi nyote.
Ameshapata mtu wa kumshikia Akili!
 
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Unatombewa wewe. Piga chini k zipo nyingi sana zinatafuta sponsors.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Pole sana
 
Nahisi kuna uhitaji wa kuenda semina za ndoa kabla ya kuingia ndani na kuishi na mume/mke,maana hali hii iko pahali pengi sana,yaani kati ya ndoa 100, zenye afadhali ni 12,nyingine zote,pangu pakavu tia mchuzi. Nendeni semina ninyi nyote.
Hahaha
 
Back
Top Bottom