Mke wangu ana Mawasiliano na Mkwe na Mashemeji wa X wake. Pia ana account ya Social Network ambayo ameniblock siwezi kuiona anachoweka huko

Unajua kina sisi tukiolewa ma x wetu wanajipendekeza sana, mwanamke usipo kuwa na msimamo unarudiana na x wako, kwanza Kama huyo x wake alimpenda mbona hakumuoa ?kwakuwa kaolewa ndo mahaba yanazidi kwa x.
Tunachezaga na akili za baadhi ya wanawake,yaani mimi ex kukutaka wakati umeshaolewa,inamaanisha najua kasoro zako ambazo zilifanya nisikuoe,hayo unayosema mahaba baada ya kuolewa,siyo mahaba,bali nataka nikulale tu,urudi kwa boya wako.Ukitaka kuamini,achika kwa huyo mwanaume wako aliyeingia king akakuoa,uje useme nioe,uone kama ntakuoa.Baadhi ya wanawake ni wajinga pro.
 
Kabisaa yaani....utashangaa mwanamke ni mke wa mtu lakini ni mchepuko wa x wake ....ogopa Sana x anayekutaka Baada ya kuolewa na mara nyingi hiki huwa ni kikwazo kigumu Sana kwa mwanamke kukiruka.... Matokeo yake anayakoroga huko kwa Mme na x anamkimbia anabaki kuita wanaume wote mbwa......
 
Ohooo mwana mbona unaangamia kwa kukosa maarifa. Chunguza ukijiridhisha hayo unayoo ongea yako sawa.

Mpe onyo namwambie kabisa onyo lako lina idadi let say 3 tunaanza na onyo la kwanza futa number ya X wako, usiwasiliane nae, futa picha , kata mawasiliano na ndugu zake, sitaki ujinga na connection ya aina yoyote na huyo bwege na mengineyo unayoona yanakukwaza onyo number 1.

Naumwambie kabisa hili ni onyo lakwanza kwako. Hakusikia mpe nafasi nyengine second Chance kama mwanamke mwenye akili zake na anabusara na anakupenda kwa dhati ataacha mara moja kabla hata ya second chance akirudia mpaka unampa 3 chance nasemaje piga chini maana utakuwa ushajua unadeal na mtu wa aina gani.

Faida utakayopata

1.Kwanza utajua yakwamba uliye naye sio chaguo sahihi na hastahili kuwa mama watoto wako.

2.Utapata relief ya Moyo na nafsi na kufanya maamuzi yaliyo sahihi.

Kila la heri mkuu katika swala la ndoa hushauriwi kufanya maamuzi ya haraka hivyo kwa hayo mawili hapo juu moyo wako utapokea na nafsi itamtapika tahadhari usiharakishe bila ya kujiridhisha na kamwe hautojuta kwa ulicho fanya.
 
Itakuwa aliingia kwenye ndoa na wewe wakati walipovurugana na huyo X wake,na alifanya hivi kukubali kuolewa na wewe kwa mantiki ya kumkomoa huyo x wake,hali ya kuwa bado yupo moyoni kwake,alipaswa atulie kwanza then ndo afanye maamuzi ya kuwa na wewe,si ajabu wakati munaanza mahusiano yenu,kutwa ulikuwa unapostiwa na maneno ya mahaba kama yote,lkn haikuwa kwa sababu anakupenda sana , ilikuwa kumchoma roho huyo x wake.kuwa makini umeyakanyaga.🤣🤣🤣
 
Huyo Mke wako alikuwa anataka tukio la harusi na sio ndoa. Mpotezee tu huyo ana mambo mengi na anaweza kukusababishia magonjwa na stress zitakazokuvuruga na kuharibu maisha yako. Mpe mkono wa bye bye 👋
 
ushaur
Ushauri wa kijinga kabisa
 
👍
 
Ushauri
Ushauri Bora kabisa ..kama asipofuata huu ushauri basi .mwache aendeleee kuteseka..!!
 
Piga chini haraka sana. Ukiendelea kusikilizia moyo wako wakati akili inakwambia umekumbatia bomu utakonda utakufa mapema au utachelewa sana. Moyo umeumbwa kusukuma damu achana na sijui nampenda sana nampenda sana wakato yeye anampenda ex wake wewe ni option ya mwisho
 
1.Mpe ruhusa aende kwa mpenzi wake,kwa kumwambia mke wangu nataka ukamsalimie mama au nataka utafute mahali popote uende uka refresh.

atafurahia kwasababu utakua umempa ruhusa hiyo angali akijua ndio chance yake ya kwenda kunyukwa na x wake (wewe wala usijali)

2.Akiwa huko endelea kuwasiliana nae kwa msg ila sio sana wasiliana nae anapokutafuta tu na usimuanze akikaa kimya kaa kimya,mpe uhuru afanye uchafu wake wote huko huko.

Akiridhika atakwambia anataka kurudi nyumbani, "usimruhusu" mwambie aendelee kukaa arefresh na wewe unahtaji kurefresh ukiwa peke ako, day 1 ataelewa ataona raha tu,wewe muache huko huko atatfuliwa weee...mwishowe watachokana.

akirudi akisema mume wangu natka kurudi nyumbani,Mkatalie mwambie wewe bado una refresh,akijifanya kumind kuingiza topic za wanawake/michepuko,nk

Nenda kwenye acc ya social media anayotumia na x wake comment wapongeze wamependeza,halafu rudi huku kwenye majibizano yenu mwambie nmekutumia ujumbe kwenye picha yenu.

Akiwa huko huko mlipulie bomu lake na umwambie ndio ishaisha yani.
 
uishi milele kaka Avatar mbaya akili na roho safi nakuunga hoja asilimia 100 una akili sana
 
Piga chin huyoo kabla hajakuuua In short umeoa make wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…