Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kazi kazi mkuuHuu ni utumbo bora wa mwenzi june
Kama Umeoa, utakubaliana namm kwamba mwanaume anahitajiWewe kama umeoa basi humpendi mkeo
Huwezi shabikia mwanaume mwenzio ampe Talaka mke wake....
Wewe kama umeoa basi humpendi mkeo
Huwezi shabikia mwanaume mwenzio ampe Talaka mke wake....
Mkuu huyo mwanamke atabadilika tu naamini ndoa yao bado ni changa sana...Kama Umeoa, utakubaliana namm kwamba mwanaume anahitaji
Heshima Toka Kwa mkewe .
UTII Toka Kwa mkewe.
Upendo Toka Kwa mkewe.
Mapenzi Toka Kwa mkewe .
Kwann ngono ni ya mwisho, Kwa sababu ngono unaweza ipata Kwa Wanawake wengine.
Ila utii Heshima, Upendo, ndio vinavyojenga Familia.
Acha kukaa na janamke kisa linakupa UCHI alafu masuala ya Msingi yanyokupa Amani na na kuonyesha uanaume wako ndan ya familiar MKEO anayechezea.
Mke wa Jamaa anawasiliana na Ndugu wa ex wakez ni waz wameachana Kwa sababu zingine na pengine hata mwanamke anamtoto huko ila kamficha jamaa, na km hana basi bado anaendelea kuliwa huko .
Pili, kufungua akaunti akamblok Mumewe, inatosha tu kumpa Talaka.
Tatu, KUENDELEA kumpost ex wake naaneno ya mahabaz ni kumdharau Mumewe, na ni wazi huyo si Mke, Bali ex anaendelea kumla.
MTOA MADAZ MPE TARAKA HUYO PIMBI HARAKA IWEZEKANVYO.
Unafuatilia vya nini?Mambo.
Mi Ni mwanaume mimeoa muda si mrefu Sana, nampenda mke wangu, lakini changamoto ninazoziona hata raha ya ndoa siioni. Tatizo ninaloliona kwa mke wangu Kwanza Ni Mawasiliano na Mashemeji zake na Mkwe wa X wake.
Hili Jambo nimejaribu kumueleza aliache naona Mawasiliano yapo vile vile. Nimegundua Jambo lingine ana Account ya Social network ina picha Nyingi alizopiga na X wake, na ameandika maneno mengi ya mahaba kumuhusu huyo X wake anavyompenda. Kiukweli nimeumia kwa kuwa nampenda.
Hiyo account ipo active anaitumia Mara kwa Mara kuandika maneno ya mahaba anavyompenda huyo X wake. Mpaka leo nimeona maneno mengine ya mahaba.
Najikuta naumia kwanini alikubali kuolewa na Mimi ili Hali Moyo wake Bado unampenda X wake.
Nawaza na kuwazua sikupenda kuoa na kuacha Ila changamoto hii ya kuwa na Mke ambae ametunza picha za X wake na Mawasiliano na mashemeji, naona Kama ipo siku atarudi kwa X wake. Au Tuta shere(Magonjwa mengi ya zinaa).
Naomba ushauri wako, ndugu Yangu.
Hana haja ya kutafuta kama Ex bado anakula au lahMkuu huyo mwanamke atabadilika tu naamini ndoa yao bado ni changa sana...
Swali ni kwamba alishawahi kumuona akiwa na huyo X wake kipindi hiki yupo ndani ya ndoa....?
Au alishasikia X wake anakula tena mke wake?
Mtoto mzuriBora tuache kuoana sasa,khaa
Hapana boss mi mfanya biashara.. sijataka kumuonyesha mke wangu Mali zangu zote Wala account zangu zote. juzi nimeingiza 26m sijataka hata kumwambia.Hapana boss mi mfanya biashara.. sijataka kumuonyesha mke wangu Mali zangu zote Wala account zangu zote. juzi nimeingiza 26m sijataka hata kumwambia.
Mahangaiko haya yote ya nin?,ushauri wangu piga chini wanawake wapo wengihili suala ongea na mkeo na ukiona anazidi,ita wazazi wake,akizidi ongea na viongozi wa dini na akizidi,anzisha maongezi ya kuvunja ndoa
Pole mkuu!Mambo.
Mi Ni mwanaume mimeoa muda si mrefu Sana, nampenda mke wangu, lakini changamoto ninazoziona hata raha ya ndoa siioni. Tatizo ninaloliona kwa mke wangu Kwanza Ni Mawasiliano na Mashemeji zake na Mkwe wa X wake.
Hili Jambo nimejaribu kumueleza aliache naona Mawasiliano yapo vile vile. Nimegundua Jambo lingine ana Account ya Social network ina picha Nyingi alizopiga na X wake, na ameandika maneno mengi ya mahaba kumuhusu huyo X wake anavyompenda. Kiukweli nimeumia kwa kuwa nampenda.
Hiyo account ipo active anaitumia Mara kwa Mara kuandika maneno ya mahaba anavyompenda huyo X wake. Mpaka leo nimeona maneno mengine ya mahaba.
Najikuta naumia kwanini alikubali kuolewa na Mimi ili Hali Moyo wake Bado unampenda X wake.
Nawaza na kuwazua sikupenda kuoa na kuacha Ila changamoto hii ya kuwa na Mke ambae ametunza picha za X wake na Mawasiliano na mashemeji, naona Kama ipo siku atarudi kwa X wake. Au Tuta shere(Magonjwa mengi ya zinaa).
Naomba ushauri wako, ndugu Yangu.
Uenda sijaelewa, yaani mke huenda anampima akili mumewe kwa kuwa na side social account ambayo ina husika zaidi na ex-wake, hiyo hapana ni kumtetea mwanamke ambaye sio muaminifu, in short jamaa kabeba bomu anytime litalipuka.Wewe hadi umeoa basi unaakili timamu.
unasema unampenda mkeo basi zidisha upendo ipo siku ataacha hayo mambo mkuu.
Ndoa sio mchezo mkuu...kuoa na kuacha unajitia GUNDU tu....
Tuliza akili itulie huwenda pia anakupima IQ yako inauwezo wa namna gani katika kufikilia.....ACHANA NA MHEMKO
Wewe ndio umemshauri sasa..jamani ndoa si lelemama...hivi mtaacha wangapi?...labda ndio hivyoo muendeleze hiyo slogan yenu ya kataa ndoaa....katika real life wenzenu maisha yanaendeleaaUsimlaum kwanini anachati nao, hujampa strict terms & conditions za ndoa yenu. Hilo picha litaisha tu hiyo ndoa ni changa unatakiwa usimame kama kichwa kulitatua hili usikimbie..mtengeneze mkeo awe vile utakavyo akisuasua make plan B. Usipalilie hii kitu itatanua moyo wako. Wake up man