Mke wangu ana tatizo la kukoroma

Mke wangu ana tatizo la kukoroma

Afanye hili zoezi mara 5-10 Kwa siku


1. PanuA mdomo Hadi mwisho Kwa nguvu ,

2. Atoe ulimi nje Kwa nguvu Hadi mwisho

3. Wakati mdomo uko wazi awe anautoa ulimi nje na ndani Kwa nguvu , utaona Hadi machozi yanamtoka.

Afanye hili zoezi , utakuja kunishukuru. Hili zoezi linakomaza misuli iliyolegea nyumA ya ulimi ambayo ndio husababisha MTU kukoroma
 
Inatibika kwa:-

1. Kukata kimeo

2. Kufuata maelekezo hapo juu.

3. Ongeza Upendo

4. Apunguze Unene

5. Akilala aweke mto. Alalie mto.
 
Back
Top Bottom