Aah mnatufanyaga mandezi sana nyie wakati wa mimba mnaona ndio tiketi ya kutukomoa sio!!?
ππ Kwakweli..Hahahaaa. Wakubali tu kero zetu sababu kukaa na tumbo sio mchezo jamani. π π
Hakuna cha kutokea Wala nini janja janja tu hizo, Mimi kwangu hapana kabisa nakwambia ukithubutu ndo utanijua kuwa mi ni Idi Amini, Mobutu au Hitler.ππππ siyo mandezi Jamani..hiyo hali hutokea tu ..
ππππPunguza mikwara..hujapata wa kukukazia wewe..mbona utaomba pooHakuna cha kutokea Wala nini janja janja tu hizo, Mimi kwangu hapana kabisa nakwambia ukithubutu ndo utanijua kuwa mi ni Idi Amini, Mobutu au Hitler.
Aaahh waaapiii huyo alikuwa anaenda Kwa mchepuko tu huyo Kwa kisingizio cha mimba hamna lolote hapo na tena awe makini yawezekana hiyo mimba ni ya huyo muuza chips huko ohoo π€£ nyie sio wakuwaamini nyie.ππ Kwakweli..
Nina Dada angu alikua anamuasha mumewe kwenda kula chips za kariakoo saa sita usikuπ€£π€£
ππ We hunijui wewe sio mikwara mi ndo nilivo ujinga huo kwangu haufanyiki hata kidogo amini nakwambia.ππππPunguza mikwara..hujapata wa kukukazia wewe..mbona utaomba poo
π€£π€£π€£π€£Walaaa si mchepuko...na Shem alikua anampeleka..kutoka mivinjeni kurasini to kkoo daily..na huezi amini mtoto kazaliwa shemeji mtupuAaahh waaapiii huyo alikuwa anaenda Kwa mchepuko tu huyo Kwa kisingizio cha mimba hamna lolote hapo na tena awe makini yawezekana hiyo mimba ni ya huyo muuza chips huko ohoo π€£ nyie sio wakuwaamini nyie.
Mmh π basi huyo itakuwa tu kajiokotea bwege lake anajipigia tu ila Mimi binafsi kuwezi kunizeveza ki bwege bwege namna hiyo kiukweli!!.π€£π€£π€£π€£Walaaa si mchepuko...na Shem alikua anampeleka..kutoka mivinjeni kurasini to kkoo daily..na huezi amini mtoto kazaliwa shemeji mtupu
Hapo sasa ndio utajua kwanini waganga wanaotoa ndagu ili mtu atajirike ila yeye hajawahi kutajirika[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kwanin hakutumia kilinge kuadhibu kenge woote walioharibu usingizi wake? [emoji23]
Kweli mkuu, huu usumbufu huwezi kuusikia kwa mwanamke aliyeipata pasipokuwa na mume/ameolewa mf: Mwanafunzi, Beki 3Mabadiliko ni lazima kwa miezi ya mwanzo na kutapika hawez kujitapisha huja automatic ila ilo la kutokufagia naona ni jipya aisee sema mimba zinazokuwa na baba wapo karibu zinasumbua [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hehehee!! Yabidi nikutafute mdogo wangu mana umeshanitamanisha kujua hayo uliyojionea nina hakika yalishapita salama.
Shukran mnoo nami nakupa hi. Acha kabisa huu ubusy M'Mungu ndo anajua.
π€£π€£π€£Ni kweli akiwa na shida serious nitafanya majukumu yangu ila sio ujinga wa kunifukuza nyumbani sijui ooh mara sijui kaninunulie kuku wa mbagala kule hawa wa tandale Kwa tumbo siwataki. Ooh mara nini sijui !!
Wee nani kasema π
Nasemaga mimk dar es Salaam hakuna mganga, na wala mganga hawezi kutokea moshi. [emoji23]Hapo sasa ndio utajua kwanini waganga wanaotoa ndagu ili mtu atajirike ila yeye hajawahi kutajirika[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa. Ila kuna wanaume huwa wanaipata pata kwa kweli.ππ Kwakweli..
Nina Dada angu alikua anamuasha mumewe kwenda kula chips za kariakoo saa sita usikuπ€£π€£
Hakika.Kweli mkuu, huu usumbufu huwezi kuusikia kwa mwanamke aliyeipata pasipokuwa na mume/ameolewa mf: Mwanafunzi, Beki 3
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasemaga mimk dar es Salaam hakuna mganga, na wala mganga hawezi kutokea moshi. [emoji23]
Ukiwa nje ya uwanja utaziona mbinu zote, ingia sasa ndani ya uwanja kama hujaomba poo[emoji3][emoji3][emoji3]Siku ikifika, nitadekeza binti wa mtu mpaka aseme "inatosha jamani".
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Ibebe wewe mrahisishe mambo.