Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja tuu lakini nanyooka

Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja tuu lakini nanyooka

Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!

Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.

Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya

Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
mpeleke kwao akapumunzike mara moja,,, atarud tu mara baada ya kujifungua,asikusumbue huo ni utt boss,, pia ukifatilia nyma yake kuna mwalim wake
 
Basi utakuwa ni kawaida yako kumdekeza hivyo hakuna jipya, visirani navyo huwa vinaangalia ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1756][emoji1756]
 
Siku kataka chips yai nikaleta akadai zinanukia vibaya hataki anataka tu viazi kwaiyo nikalete viazi vya kukaanga na miguu ya kuku full pilipili alafu chips zenge ndio nile mwenyewe yeye hawezi kupika usiku [emoji17][emoji17][emoji17]

Nikasema zege mm nikila sitosshiba nikachukua unga nikabandika ugali akadai mboga nitapata wapi apo nimeshafura asira nikamwambia ntajua mwenyewe pa kupata nikasoga ugali umeiva nimenuna akanionea uruma akanipa buku 2 nikanunue paja la kuku nije kurumangia ugali akasisitiza paja la kuku sio kitu kingine mana ni kama nitakuwa nimechokoza ugomvi hataki harufu nyingine.

Nimeenda chukua paja saa tano iyo sasa nakula ananiangalia nimekula nimemaliza nikasema sasa niende kunawa nije kutoa vyombo ile narudi namkuta anakula mifupa niloiacha kaimix na pilipili [emoji16][emoji16] ase nilichoka.
Alikuwa anatafuta madini hapo kwa mifupa Mkuu.

Hongera sana Mkuu.

Moja ya kitu nilwawahi kutana nacho ni kulala usingizi mkali , mpaka naonewa huruma.

Usingizi kazini , usingizi popote pale ..kwa kazi ilibidi niwaambie tu wazee mimi nina connection na New coming Baby kama Baba.

Jioni kuanzia saa kumi na mbili mimi naota .Mpaka sasa najiuliza nini kilitokea na mida hiyo ya kulala ni pale kukiwa na utulivu huko tumboni kwakwe ..jamaa akiwa hachezi chezi .

Mwanzoni familia ilijua natania ..kadri siku zilivyosonga ..usingizi ukazidi tamalaki.

Nilishirikisha watu wa Afya nikaambiwa hatuoni shida kwako.


Kuna maajabu mengi sana ila hili la kulala liliisha baada ya miezi tisa.
 
Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!

Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.

Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya

Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
Mimba ya mwezi hadi miezi minne huwa ni kipindi kigumu sana kwa mwanamke, ndo kipindi mwanaume unatakiwa kuwa karibu sana na mama na kujishusha sana sababu ndo mtoto hutengenezwa kipindi hiki baada ya hapo mtoto hatengenezwi tena bali anakua ndo kipindi mama anatakiwa kula virutubisho vingi sana. Kwa maana ya protini
 
Mkiyapata mabwege huwa mnafurahi sana naona 😂.

Yaani Mimi kabisa unifanyie huo ujinga!!! Eti anatamani kuku zinazouzwa mbali na nyumbani daah jinga kabisaa atafata mwenyewe !!!
Hahahaa. Eti Mabwege.

Yu do no zis singi braza. 😅 Ngoja ukija ingia na ukafanikiwa kujazisha hapo ndo utajua haya mambo hayana mwamba.
 
Ahsante kwa muongozo Dada, nimejionea mwenyewe.

Mwifwa Jr anakupa hai sana, uje umsabahi sasa sio kwa ubize huo mjini[emoji3][emoji3]
Hehehee!! Yabidi nikutafute mdogo wangu mana umeshanitamanisha kujua hayo uliyojionea nina hakika yalishapita salama.

Shukran mnoo nami nakupa hi. Acha kabisa huu ubusy M'Mungu ndo anajua.
 
The moment naishi mbagala, Saa 9 usiku mke wangu ananiamsha anataka miwa ya Buguruni.
Na hapo ukileta ya hapo Mbagala kiu chake hakikatiki na si ajabu akakwambia hawajaeka ndimu na tangawizi ya kutosha. 😅

Sema si ulienda?
 
Ukimuona analeta tabia za ajabu mpeleke aidha kwenu akakae na mama yako au arudi kwao akakae na mama yake.

Hayo mautoto utoto ndio hupelekea wanakuja kufanyiwa operation baadae..... Maana mwili unakuwa lege lege hauwezi hata kuhandle delivery ya mtoto muda ukifika.
 
Hahahaa. Eti Mabwege.

Yu do no zis singi braza. 😅 Ngoja ukija ingia na ukafanikiwa kujazisha hapo ndo utajua haya mambo hayana mwamba.
Hakuna kitu hapo wewe 😂 Mimi mtu hawezi nifanyia hivo sutubu yakee!!

Hata awe na mimba ya aje lakini heshima na adabu sitaki ujinga mimi kabisa!!

Eti anifukuze nyumbani kisa anamimba😳 ataondoka yeye akatafute Kwa kukaa hadi mimba inipende ndo arudi na akirudi awe na maelezo imeanza vipi kunipenda.

Sitaki mideko na ujinga ujinga wa makusudi Mimi yaani mimba yangu alafu inichukie wee nani kasema wewe kama sio makusudi yenu tu 😂 mnatikisa kiberiti huku mnatucheka "nimelikomoa hili" !!.
 
Hakuna kitu hapo wewe 😂 Mimi mtu hawezi nifanyia hivo sutubu yakee!!

Hata awe na mimba ya aje lakini heshima na adabu sitaki ujinga mimi kabisa!!

Eti anifukuze nyumbani kisa anamimba😳 ataondoka yeye akatafute Kwa kukaa hadi mimba inipende ndo arudi na akirudi awe na maelezo imeanza vipi kunipenda.

Sitaki mideko na ujinga ujinga wa makusudi Mimi yaani mimba yangu alafu inichukie wee nani kasema wewe kama sio makusudi yenu tu 😂 mnatikisa kiberiti huku mnatucheka "nimelikomoa hili" !!.
Hahahaaa! Haya bana.

Japo niseme tu kuna baadhi ya vitu hutaeza vikwepa.
 
😅😅😅😅😅😅😅 hiko kipengele nilispend life kwa baba na mama huku bibie akipambana na mashetani yake ya mimba!

Namchungulia after 3 days kisha nasepa dada ake ndio alikuwa bega kwa bega naye!
Wanajifanya wahuni Sasa dawa ni kuwa mhuni zaidi yake wengine wanatakaga kutukomoa tu hamna lolote
 
Hahahaaa! Haya bana.

Japo niseme tu kuna baadhi ya vitu hutaeza vikwepa.
Ni kweli akiwa na shida serious nitafanya majukumu yangu ila sio ujinga wa kunifukuza nyumbani sijui ooh mara sijui kaninunulie kuku wa mbagala kule hawa wa tandale Kwa tumbo siwataki. Ooh mara nini sijui !!

Wee nani kasema 😂
 
Kunamwingine aliambiwa atafute miwa saa sita usiku akaenda kutafuta had kurudi home saa nane Cha ajabu anaambiwa iyo miwa atafune mwenyew anavyotafuna mama k ndo anasikia raha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dawa yake toka asubuhi rudi jioni nyumbn huku umeshakula kitaa mbona atajirudi tu
 
Back
Top Bottom