Siku kataka chips yai nikaleta akadai zinanukia vibaya hataki anataka tu viazi kwaiyo nikalete viazi vya kukaanga na miguu ya kuku full pilipili alafu chips zenge ndio nile mwenyewe yeye hawezi kupika usiku [emoji17][emoji17][emoji17]
Nikasema zege mm nikila sitosshiba nikachukua unga nikabandika ugali akadai mboga nitapata wapi apo nimeshafura asira nikamwambia ntajua mwenyewe pa kupata nikasoga ugali umeiva nimenuna akanionea uruma akanipa buku 2 nikanunue paja la kuku nije kurumangia ugali akasisitiza paja la kuku sio kitu kingine mana ni kama nitakuwa nimechokoza ugomvi hataki harufu nyingine.
Nimeenda chukua paja saa tano iyo sasa nakula ananiangalia nimekula nimemaliza nikasema sasa niende kunawa nije kutoa vyombo ile narudi namkuta anakula mifupa niloiacha kaimix na pilipili [emoji16][emoji16] ase nilichoka.