Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Just do it .
Nimeenda Sana sokoni na Vikapu nimebeba .
Komaa mwanaume.
Ulifanya tendo pasipo ndomu? Aaaah!Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!
Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.
Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya
Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
Yes avumilie mkuu mimi , pasaka nilifukuzwa ndani , nlichukua vitu vyangu nkasepa .. two days later napigiwa simu Rudi nyumbani ukwapi ... Nimefanya shughuli nyingi Sana mwanzoni niliona kero ila nashukuru Nilikuwa karibu sana na mama yangu kupitia simu kanitia moyo Sana .. na miezi tisa ikatimia.
Na Ili uone umuhimu wa kitu lazima ukipambanie ...
Naongea Sana ila nini ... Hakuna wa kuniambia chochote KWA mwanangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nampenda
Mara nipikie wali ... Umeanza kuiva hiyo harufu siitaki...
Oga basi siogi .. KWA wiki mara moja au inakata kabisa...
Hiyo perfume siitaki ...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kwenye kuoga huwa inakuwaje mkuu kama ushawahi kukukuta ya design hiyo
😀😀😀😀na bado utanyoooka haswaaaa. Mpaka miezi9 ifike hakuna rangi utaacha ona
Nshatumwa sana juice ya miwa saa saba usiku juice ya ukwaju hadi wauzaji wakanichoka siku anataka miguu ya kuku ole wako usije nayo na akila anakula hadi kifupa haachi kitu hakuwa akipenda pilipili ila nilikoma kula pilipili..
Siku kataka chips yai nikaleta akadai zinanukia vibaya hataki anataka tu viazi kwaiyo nikalete viazi vya kukaanga na miguu ya kuku full pilipili alafu chips zenge ndio nile mwenyewe yeye hawezi kupika usiku [emoji17][emoji17][emoji17]
Nikasema zege mm nikila sitosshiba nikachukua unga nikabandika ugali akadai mboga nitapata wapi apo nimeshafura asira nikamwambia ntajua mwenyewe pa kupata nikasoga ugali umeiva nimenuna akanionea uruma akanipa buku 2 nikanunue paja la kuku nije kurumangia ugali akasisitiza paja la kuku sio kitu kingine mana ni kama nitakuwa nimechokoza ugomvi hataki harufu nyingine.
Nimeenda chukua paja saa tano iyo sasa nakula ananiangalia nimekula nimemaliza nikasema sasa niende kunawa nije kutoa vyombo ile narudi namkuta anakula mifupa niloiacha kaimix na pilipili [emoji16][emoji16] ase nilichoka.
Vumilia tu Mkuu sababu sidhani kama anapenda kuwa hivyo.
Na hapo hajaanza kutamani chipsi zinazouzwa masafa ya mbali.
Toto la mama [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Ndiyo mkuu na KWA hasira nikasema sirudi nyumbani kamwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Two days simu hazikauki .. messages .. mara dada mara mama apige simu .. nkarudi ..Maisha yakaendelea .
The moment naishi mbagala, Saa 9 usiku mke wangu ananiamsha anataka miwa ya Buguruni.
KabisaUkisoma comments hapa ndiyo utajua tofauti ya Wanaume na 'wavulana'...!!
Ndio madhara ya mimba ya mara ya kwanza.Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!
Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.
Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya
Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
Wengine wanakula free boat tu season yote wengine tunakula vikumbo kama mtoa mada😅Kutokula inategemeana ntu na ntu