Mke wangu ana uvimbe kwenye ovari (ovarian complex cyst)

Mke wangu ana uvimbe kwenye ovari (ovarian complex cyst)

Wataalam habari za asubuhi?

Naomba msaada wa elimu katika hili.

Baada ya kuishi na mke kwa muda kwa mwaka mmoja na miezi saba bila kupata hata dalili yoyote ya mimba, nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.

Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana Rt. Ovarian Complex Cyst, Hemorrhagic Cyst (55.4×49.2mm).

Tukaambiwa tiba yake ni oparesheni kubwa kuondoa uvimbe huo. Tulibaha hadi kushindwa kuuliza maswali ya msingi tukaaga kwamba tukajipange kwanza tutarudi kwa operation hiyo.

Hapa nilipo kichwa hakipo sawa kabisa.

Je, operation ya namna hiyo huwa kizazi kinabaki au kinaondoshwa kabisa?

Hata kizazi kikibaki kwa hali hiyo anaweza kupata mimba/kuzaa?

Tatizo hilo haliwezi kujirudia tena?

Side effects za operation ya namna hiyo ni zipi?

Hakuna tiba mbadala?

Naombeni elimu mujarabu.
Acha stress mzee, operation ya cyst removal ni operation ndogo tu naweza ifananyisha na procedure ya kuondoa jipu, wala haihusiani na kizazi wala kupata au kukosa mtoto, siku hizi mkikosa mimba acheni ku bumba bumba, kuna fertility clinic kibao hapa nchini mfano wake ni ile kairuki fertility clinic na dar ivf fertility clinic nyingine nulife fertility centre, mak ivf advanced fertility and martenity clinic hizi zote ni za dar wanauwezo hadi wa kupandikiza mimba, bei siku hizi zimeshuka mimba sio ishu tena
 
Wataalam habari za asubuhi?

Naomba msaada wa elimu katika hili.

Baada ya kuishi na mke kwa muda kwa mwaka mmoja na miezi saba bila kupata hata dalili yoyote ya mimba, nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.

Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana Rt. Ovarian Complex Cyst, Hemorrhagic Cyst (55.4×49.2mm).

Tukaambiwa tiba yake ni oparesheni kubwa kuondoa uvimbe huo. Tulibaha hadi kushindwa kuuliza maswali ya msingi tukaaga kwamba tukajipange kwanza tutarudi kwa operation hiyo.

Hapa nilipo kichwa hakipo sawa kabisa.

Je, operation ya namna hiyo huwa kizazi kinabaki au kinaondoshwa kabisa?

Hata kizazi kikibaki kwa hali hiyo anaweza kupata mimba/kuzaa?

Tatizo hilo haliwezi kujirudia tena?

Side effects za operation ya namna hiyo ni zipi?

Hakuna tiba mbadala?

Naombeni elimu mujarabu.
Kama mkeo ni mwoga wa operation za kawaida nenda NuLife Advanced Fertility Centre, hao jamaa wanafanya operation zile za kupitia tundu dogo bila kuchana tumbo zima, pia ni one centre wanapandikiza mimba kwa ivf, mimba siku hizi sio ya kuitafuta kwa stress nenda kwenye teknolojia, zaman watu waliisafilia hii teknolojia mpka afrika kusini
 
Wataalam habari za asubuhi?

Naomba msaada wa elimu katika hili.

Baada ya kuishi na mke kwa muda kwa mwaka mmoja na miezi saba bila kupata hata dalili yoyote ya mimba, nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.

Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana Rt. Ovarian Complex Cyst, Hemorrhagic Cyst (55.4×49.2mm).

Tukaambiwa tiba yake ni oparesheni kubwa kuondoa uvimbe huo. Tulibaha hadi kushindwa kuuliza maswali ya msingi tukaaga kwamba tukajipange kwanza tutarudi kwa operation hiyo.

Hapa nilipo kichwa hakipo sawa kabisa.

Je, operation ya namna hiyo huwa kizazi kinabaki au kinaondoshwa kabisa?

Hata kizazi kikibaki kwa hali hiyo anaweza kupata mimba/kuzaa?

Tatizo hilo haliwezi kujirudia tena?

Side effects za operation ya namna hiyo ni zipi?

Hakuna tiba mbadala?

Naombeni elimu mujarabu.
Cha msingi mpeleke atibiwe ili awe salama, hayo ya kupata mtoto litakua ni jambo jingine, unawaza kumtibu mtu ilihali hata kizazi kikigoma utazaa na mwanamke mwingine, we peleka mkeo haraka afanyiwe upasuaji asije akaathirika zaidi
 
Back
Top Bottom