blanketyy
Member
- Sep 3, 2017
- 31
- 13
- Thread starter
- #21
Asante kwakunipa moyo.hizo ni kawaida ! tena kawaida sana tu utazunguka kooote hakuna cha unafuuu ! mie huwa natapika had 9mths na kichwa kuuma sna kwa miez yote hyo !kwakweli kuwa na mimba ni jehanum (in mbiti's thought)
Sent using Jamii Forums mobile app