Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.

Hyo vita kma inaiogopa mwite mbabe wa vita...bwana daud albert bashite.
 
Wewe anakuitaje, mie nimesaviwa jina la ajabu
 
So jamaa nae anamiliki mke wangu au? Ujue nazidi kupanic yaani
Nooooooooo, my haina maana hiyo tu. My hutumiwa na watu kumaanisha urafiki. Wadada wengi huitana hivyo, lakini pia mdada anaweza itana na mkaka jina hilo wakiwa ni marafiki mathalani ofisini. Utakuta wanasaidiana vitu kadhaa in good faith. Lakini wababa hatuwezi itana my. Sisi huitana Mshikaji, ,mwana, Rafiki, kiongozi, mkuu, mheshimiwa n.k

Cha msingi chunguza kujua hiyo my Yao ni ipi
 
Kwa mantiki ya Chats zao, MY humaanisha WANGU.

Ni neno la kawaida sana kutumika baina ya jinsia ke. Lakini pia linaweza kutumika baina ya jinsia ke na me.
Sasa kuitana huko sijajua wana lengo gani. Ila kwa experience yangu, ke na me wakiashaanza kuitana "my" basi uwezekano wa kukutanisha vikojoleo ni mkubwa.

Cha msingi, we muambie tu aache tabia hiyo. Kama umekuta salamu na wishes za mlo mwema, basi hiyo my yao haijawa Chronic bado. Ipo katika hatua za awali.
Ushauri mzuri
 
Marehemu mzazi wangu aliwahi kuniambia mke ni wako tu mnapokataliwa kitandani akitoka tu hata kwenda chooni si wako tena. Kwahiyo amua utulie au ulianzishe u uone moto wake
 
Dalili za kutongozana. Vita anzisha sasa.. coz ukichelewa utakuta wanaitana baby
 
Mkuu dem huwa kama nimemtongoza then akiniita kwa sms My huwa tayari kanikubli kinachobaki ni siku ya kula mzigo.
Ten usilaze damu mkuu mkeo ataliwa very soon.
Take action
Mabinti wa mjini wakitongozwa hawasemi nimekubali ila utasikia




//////my usihofu
Tuko pamoja
Tutachat
Kwanini umenichagua mimi
Mimi nina hiv
Mimi cjawah
Namwogopa gal friend wako
Mama yako mkali
Kwenu cwezi kuja




Hivi hata mkeo amesha liwa na my......
 
demu wako tu ikusiakia una megawa unahisi kuzimia Je Mke si unaweza kuchomoka roho!
 
Back
Top Bottom