Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"


Hyo vita kma inaiogopa mwite mbabe wa vita...bwana daud albert bashite.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukiona manyoya
 
Wewe anakuitaje, mie nimesaviwa jina la ajabu
 
So jamaa nae anamiliki mke wangu au? Ujue nazidi kupanic yaani
Nooooooooo, my haina maana hiyo tu. My hutumiwa na watu kumaanisha urafiki. Wadada wengi huitana hivyo, lakini pia mdada anaweza itana na mkaka jina hilo wakiwa ni marafiki mathalani ofisini. Utakuta wanasaidiana vitu kadhaa in good faith. Lakini wababa hatuwezi itana my. Sisi huitana Mshikaji, ,mwana, Rafiki, kiongozi, mkuu, mheshimiwa n.k

Cha msingi chunguza kujua hiyo my Yao ni ipi
 
Ushauri mzuri
 
Marehemu mzazi wangu aliwahi kuniambia mke ni wako tu mnapokataliwa kitandani akitoka tu hata kwenda chooni si wako tena. Kwahiyo amua utulie au ulianzishe u uone moto wake
 
Dalili za kutongozana. Vita anzisha sasa.. coz ukichelewa utakuta wanaitana baby
 
Mkuu dem huwa kama nimemtongoza then akiniita kwa sms My huwa tayari kanikubli kinachobaki ni siku ya kula mzigo.
Ten usilaze damu mkuu mkeo ataliwa very soon.
Take action
Mabinti wa mjini wakitongozwa hawasemi nimekubali ila utasikia




//////my usihofu
Tuko pamoja
Tutachat
Kwanini umenichagua mimi
Mimi nina hiv
Mimi cjawah
Namwogopa gal friend wako
Mama yako mkali
Kwenu cwezi kuja




Hivi hata mkeo amesha liwa na my......
 
demu wako tu ikusiakia una megawa unahisi kuzimia Je Mke si unaweza kuchomoka roho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…