Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
My bae
Hivi bae hua ni nn? Kuna sehem niliona BAE = bacon & egg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My bae
Bro kama nataka kukuelewa kwa mbaaaaliMY means Mali Yangu
Juzi huko fb nimemu-wish mke wa wenyewe heri ya siku ya kuzaliwa akanijibu "Thanx my dear" huo moto nimeuona huko inbox toka kwa mumewe. Sasa jamani wadada unaniita mwana wa mwanamke mwenzio ambaye si mumeo jina ambalo mara ya mwisho ulimuita mumeo kipindi cha "honeymoon" hiyo ni haki kweli!? Hata mimi nikiwa mume sikubali. Mkuu ni haki yako kumtia adabu kidogo huyo.Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Inaonesha ww ni single hujui maumivu ya kuchukuliwa mkeTuliza kitenesi kwani hata kama kala hajaihamisha iko palepale.
Kama umeteleza kwa nn usingefuta kwahiyo umedhamiria tuEeeee nimelowa mkuu
Mkuu kwanza unaanzaje kushika simu ya wife??huo muda unautoa wapi??lakini kama umeshika NAKUUNGA MKONO 100%...Washa mto wa kufa mtu kabla neno My halijabadilika na kuwa honey...darling...mpenzAisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Lakini pia kuna udhaifu kwako...huyo mkeo anaanzaje kuchat na njemba nyingine..inaonekana haupo karibu nae kihisia ndio maana anapata kampani kwa hilo jamaa...wewe umeshawahi kuchat na mkeo ukiwa umetoka??au kwa kuwa ushaoa ndio basi tena romance imeisha??wanawake wanataka hata kama umeshaoa uwe kama unatongoza upya... unampa maneno matamu na kupiga show za nguvu mpaka akose muda wa wa kuchat ndio itakuwa njia pekee ya kumfanya aone wanaume wengine ni viazi tuAisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Naomba uichonganishe serikali na wananchi[emoji2] [emoji2]Tuma ya vifaa niangalie kwenye ramli (chonganishi)
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Wanawake wanamtindo wakuitana sana My...nadhani pia wewe ni mhuni Mkubwa sana wakupindukia sana sana ndio maana unamtilia shaka Mke wako...wewe siulifumaniwa na mtoto Wa baba yako Mkubwa anayeitwa Prisila au unakataaShost wa kiume sasa? We na wewe usinipotoshe nichukulie poa nijikute manyoya kuku kashaliwa.
Wanawake wanamtindo wakuitana sana My...nadhani pia wewe ni mhuni Mkubwa sana wakupindukia sana sana ndio maana unamtilia shaka Mke wako...wewe siulifumaniwa na mtoto Wa baba yako Mkubwa anayeitwa Prisila au unakataa