Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Kama umepanic hivi,
Siwezi panic ila huo ni upotoshaji...maana utawafanya vilaza waenda kufanya jaribio hilo nakukuta ile verification code inatimwa kwa njia ya sms kwa mke/mme wake sasa sijui ataipataje?
na hata kama akiipata inamaana ile whatsapp katika simu itakuwa inactive...
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
njoo PM NIKUSAIDIE UTAMKAMATA MCHANA KWEUPE
 
Mkuu haitakuwa hisia tu, huyo jamaa anatafuna mzigo na hapo ukikuta jamaa linasifia chakula ujue k ya Mke wa jamaa ni tamu na ikiwa jamaa atakuwa kagusia kwamba lunch ya Jana ilikuwa tamu ijulikane wazi kabisa kwamba gemu ya Jana yake ilibamba. Neno my baina ya mwanamke na mwanaume huo ni umilikaji Mali na kwamba Mali inatumika. Jamaa amwambie tu kwamba katabia haki sio kazuri na achukue namba amkanye huyo jamaa
 
Wanawake wengi niliowahi kuwagegeda walianza na kuniita "MY"
 
Hili ni neno wasichana hupenda kulitumia hasa kwa ma best zao kwa hiyo angalia uandishi wa hiyo text kujua kama anachat na mwanamke au mwanaume kisha chukua hatua.Usikae na kitu moyoni
Ata kama ni jinsia 1... Uenda ikawa wanasagana je? Ohooo
 
Unaogopa bp halafu unaitafuta/unaifuata mwenyewe,ulifwata nn huko inbox!
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
umechapiwa kaka
 
Mimi narudia tena whether hii ni true or fake story tusitoe siri za ndoa nje/hadharani ndoa inahitaji uvumilivu sana hicho unachokisema ni kiwimbi kidogo sana ndani ya bahari yenye mawimbi makubwa.Baada ya kusoma hayo mawasiliano ndiyo haswaa unamg'ang'ania mke wako mvuke naye,kamwe usikubali kumuacha.Sisi wengine kabla ya ndoa tunapewa mafundisho,unapewa forecast ya hali ya hewa itakavyokuwa huko njiani kabla ya kunyanyua 'chombo".Niliyapata haya miaka 15 iliyopita na yamenisaidia sana.kusema ukweli.
 
Ulipomuoa uliikuta ?.songs mbele mechi bado. Pato kubwa hapo hm lako au lake. Usije kuuliza ukapewa na mengine...Kibehe.
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.

Unakuja kumbwambia nani huku?
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.

Kizuri kula na mwenzio mzee usichunguze sana potezea coz hata Mungu angetaka atunyime kila kitu usingekuwa na pumzi leo. Therefore, rudisha simu yake tu fanya kama hujawahi kuona hilo neno au kama limekaa sana kichwani basi andika maana yake kuwa ni 'sista wangu' ndicho anachomaanisha anaemuita.
 
Siwezi panic ila huo ni upotoshaji...maana utawafanya vilaza waenda kufanya jaribio hilo nakukuta ile verification code inatimwa kwa njia ya sms kwa mke/mme wake sasa sijui ataipataje?
na hata kama akiipata inamaana ile whatsapp katika simu itakuwa inactive...
Wewe jamaa relax, inaonekana wewe ni mtu mwenye upweke sana, halafu huna busara kujifanya mjuaji. Soma post #66 kuna mtu kaelezea nilichomaanisha. Ooh mara bluestacks. id.ot.
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
its means SHE IS BELONGS TO HIM and HE IS BELONGS TO HER.... hivi umenipata kweli? sikuja kutengua torati lakini
 
Back
Top Bottom