Mke wangu anadai ana ujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Sasa chakufanya mkuu
Iba kadi nenda clinic kabadilishe jina
Au nunua correction futa
Bora mkose wote[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili nalo la kuomba ushauri? Ukirudi nyumbani mwambie aende kwa mwenye hilo jina aendelee kulea mimba. Hata kama ni jina la babaake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…