Okechuku33
Member
- Dec 30, 2015
- 78
- 30
- Thread starter
-
- #141
Sio kwamba sina akili tunaomba ushauri was ziada tu kwani kuomba ushauri ni kosa? Sababu nisije kufanya maamuzi yatakayo weza kuleta madhara ndomana nikaomba ushauri!Kwa sababu huna akili
Sahihi!
Kwa bahati mbaya nilimakata huduma baada ya kugundua so sijapigwa kiviile!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dogo usiwe na pupa,subiri ukue tu haya mambo yapo. wewe si hadi leo hujawai kuona mtu aliyefungua kadi mbili za clinick na unasema ili iweje..we subiri na ni vema kipindi hiki ujisomee sana ujiandae na mock.
Ndio kaka!Upo serios kwel brother mke wako then kaweka jina la mtu mwingine ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wa aina gani ndugu yangu unaohiotaji ? Mkeo kabeba mimba ya mtu mwingine , na mama mkwe wako anaunga mkono kitendo . Ina maana katika hiyo familia umeachwa peke yako japo bado unadai kuwa kuwa una familia . Kwa kawaida wanawake walioolewa /ambao bado wapo kwenye ndoa wanapofanya kosa kama hilo huwa wanatumia jina la mume kwenye kadi/cheti cha mtoto. Lakini huyo wa kwako katumia jina la mhusika akijua kuwa wewe ndiye mumewe. Tafakari shirikisha wazazi wako ama viongozi wa dini yako na chukua hatua stahikiMke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!
Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!
Mnanishaurije wadau!?
Sent using Jamii Forums mobile app
No sikwenda nae cause nilikua mkoani so ikabidi aende mwenyewe! Ila kwa ushauri wa kuanza upya naona utanifaa zaidi kwasababu sipo tayari kulea mtoto ambae si wangu halafu mwisho was siku inakuja kutokea kuwa si wangu! Hapo make wangu alikua anakwenda kinyume na mimi! Nimeshapata somo!Hii kitu ilimtokea jamaa namfahamu, mkuu hapo kama ndoa yenu bado changa na mmepanga chukua nguo zako potea kabisa usionekane tena kwake. Oa mwanamke anayejitambua uanze maisha upya. Kwani hamkwenda naye ciliniki siku ya kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi!Walishakuona we boya, na inaonekana wewe wanakuviringa kadri wanavyotaka, iweje mama mkwe aje kukuelezea taarifa za kadi? Hafu huyo mkeo anakufahamu kuwa wewe ni dhaifu ndo maana kapigwa mimba na kamwandika jamaa yake, pole dogo pambana
Sahihi!Daaa kweli wanaume tunapungua kwa kadi Sana, huyu sio mwanaume ni kivulana
Sent using Jamii Forums mobile app
Utapiga risasi kama una bunduki lakiniwe pimbi kweli, angefanya mke wako hivyo ungejiskiaje , halafu unasema wanawake wana huruma, huruma my ass, mwanaume mwenzio kaja kuomba ushauri wewe unaongea faken stories hapa,
wanawake wa hivyo unapiga risasi tu, na wanaume ambao mnasapoti ujinga kama wewe ni wa kuchinjwa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayajakukuta ndomana unasuma hivyo!
Sahihi!
Kwahiyo kadi umepewa?hiyo sio damu yako jiongezeeSahihi!
Kaka kuomba ushauri sio kosa!Naona umeamua kutukosea heshima wanaume wenzako sasa
Sahihi!Huyo sio mkeo ni mzazi mwenzako Kama kweli umemuoa anapata wapi ujasiri wa kuandika jina la mwanaume mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana Ahsante kwa ushauri wako!Usigombane naye ila jitenge naye kimya kimya.
Sahihi kabisa!Ni mke wako wa ndoa? mnaishi wote? kama kimoja kati ya ayo maswali mawili ni ndio basi level ulifikia na mke ni zaidi ya hatari.
Sahihi kaka kuna siri iliyojificha ambayo mimi sijui! Nafkiri nijivue mzigo tu!Mpeleke kwao yeye na mama yake wajadiliane kama mjomba atalea au mama mkwe mwenyewe.Jina la mimba huwa kuna pa kujaza mama na baba tu,hakuna pa kujaza mjomba.Hao mama na mwana wana usiri wao usioujuwa.
Safi sana Ahsante kwa ushauri wako!Mkuu kwanza pole sana
(Jambo hili limenikuta mimi ila si mkewangu ni mtu ambae tulikuw katika mahusiano)
Sasa unaposema ni mkeo kbsa wa halali kidini na kisheria ndimbo hapo nashindwa kuelewa wew unashindw nn kumuelewa ..?
Je umezaa nae watoto wengine?
Unawatoto wangapi..?
Huyo mwanamke ni kabila gani ?
Ila ushauri wangu mpeleke kwao huyo mwanamke na usimuudumie kwa lolote na wala usitoe taraka hadi pale atapo kuthibitishia yeye mwenyew kuw huyo ni mtoto wako au si wako.
Na kama akikuthibitishia ni wako hakiki mtoto anafanafanana na wew , mnapima DNA na document zote za mtoto zipo kwa jina lako kinyume na hapo vunja mkataba wa ndoa .
Sent using Jamii Forums mobile app