Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Nyarupala

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
494
Reaction score
856
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
 
Mpaka kagundua humridhishi inamaanisha kapata wa kukulinganisha na wewe.

Shukuru Mungu kakakwambia kweli.

Kuna options mbili, kufanya jitihada umridhishe, hii si lazma kwa phyisical kitombo maana hapo ulipofikia ndio majaaliwa yako huna maajabu zaidi, nogesha na vi foreplay nakshi nakshi za kumfyonza na kumnyonya kimahaba ila sio kama muumiani mnyonya damu.

Option ya pili ni kumruhusu aende kiroho safi ukae ukijua mmeachana, maana huyo kama hafanyi tayari basi ni swala la muda tu atafanywa ili aridhike.

Kuna wakati ni heshima zaidi kukubali kushindwa kuliko kung'ang'ania usiyoyaweza kuishia kudhalilishwa.
 
Kama kaongea ukweli suluhu si kuachana Bali hakikisha unaichapa had anakojoa japo mara moja moja.
Dhamira ya kuichapa mpaka akojoe inaweza ikawepo, tatizo uwezo ndio hakuna.

Unakuta moyo unataka ila bolo limesanda tayari. Huwezi kusingizia tumbo la kuhara kila siku.

1725635436640.png
 
Kwa unavyoona kaongea ukweli au kadanganya?

Kama kaongea ukweli suluhu si kuachana Bali hakikisha unaichapa had anakojoa japo mara moja moja.
Mkuu mambo ni mengi sana unajikuta umechoka na kuhisi umemaliza kila kitu lakini cha kushangaza miaka mitatu yote ndyo aje aniambie leo na ndyo nahisi kuna muhuni tayari
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Shukuru Mungu kafunguka Japo kwenye uhalisia inaweza kuonekana chai ya moto
 
Back
Top Bottom