Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Njoo nikuuzie vumbi la Congo umsugue vzr
 
Jana kuna manzi wangu wa zamani nilikutana nae tukapiga show. Yule manzi baada ya kumaliza akaniambia siku hizi nimezeeka sina maajabu nimemsumbua tu.

Imeniuma sana japo ni kweli nilipiga show mbovu sana. Uno 10 tu wazungu hao .
 
Jana kuna manzi wangu wa zamani nilikutana nae tukapiga show. Yule manzi baada ya kumaliza akaniambia siku hizi nimezeeka sina maajabu nimemsumbua tu.

Imeniuma sana japo ni kweli nilipiga show mbovu sana.
Dah
 
Mambo mengine yanaweka ugumu kutomwaga matusi. Nyie ni watu wazima au watoto wa secondary? Mnafahamu maana ya ndoa? Ndoa sio kwa ajili yenu ili mfunikane kitandani. Bali ndoa ni kwa ajili ya familia. Ni kwa ajili ya watoto. Mambo yenu ya ndani hayaihusu familia.

Kama hamkulijua hilo tangu mwanzo basi nyie ndio wale wazazi hasara kwa mtoto. Na hakuna laana mbaya kwa mtoto kama wazazi wasiojitambua. For Fuk's sake.
 
Yani utabaki unawaza kila wakati...ni very embrassing kwakweli..utajiona kama kiberiti
Hii kama hauko strong mentally haina comeback hata kidogo!!
Mimi nina mkasa wangu ningeuweka hapa ila hii thread inahitaji ushauri kwa mujibu wa mleta mada..
But ndani ya huo mkasa ana cha kujifunza pia..
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Mkuu endelea kutafuta hela,kukojozwa atakojozwa na maisha tu
 
Jana kuna manzi wangu wa zamani nilikutana nae tukapiga show. Yule manzi baada ya kumaliza akaniambia siku hizi nimezeeka sina maajabu nimemsumbua tu.

Imeniuma sana japo ni kweli nilipiga show mbovu sana. Uno 10 tu wazungu hao .
Kwani yule mkubwa Engonga huwa anapiga ngapi? Maana Inaonekana anapendwa na kutajwatajwa sana kwenye hayo masuala.
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Hebu niunganishe nae nimpe masomo yake
 
Mimi ni mwanamke na nakwambia hapo huna mke
Anataka muachane anashindwa kukwambia direct kaamua akwambie kwa kukuumiza take it from me
Wanawake wengi tu hawaridhishwi na wapo kimya kwa sisi sex si jambo kubwa sana
Piga chini huyo mkeo atakusumbua badae
Nimeshalifanyia kazi hili
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Usikwazike kijana wetu Wenda nikwambie ukweli katika eneo wanawake wamefaulu kutukandamiza kwa baazi yetu ni Hilo lakini kaaa ukijua habari njema hakuna MWANAUME ANAYEWEZA KUMLIDHISHA MWANAMKE DUNIA NZIMA
 
Back
Top Bottom