Mke wangu anaishi maisha ya ki-tamthilia, yananitesa haswa

Mke wangu anaishi maisha ya ki-tamthilia, yananitesa haswa

ungetuambia kwanza jamaa ana umri gani,mkewe ana umri gani, wana muda gani kwenye ndoa,wana watoto au hawana ndio tungetoa ushauri vizuri.

ila sijui kwa nini Wanaume wenzangu mumenyimwa akili kama zangu aise !

sikia mwambie hivi:

Wanaume wewe ndiye kiongozi wa familia na wewe ndio unatakiwa uwe na sauti ya mamlaka acha kuhofika kimpoteza huo ni umama.

Mwanamke inatakiwa afuate unavotaka wewe sio yayi hilo kwamba likidondoka litapasuka.

oya jamaa mbona unanifanya mpaka nakasirika ?

tengeneza Mke unayemtaka wewe acha kusema eti unahofia kumpoteza.

we vipi ?
 
ungetuambia kwanza jamaa ana umri gani,mkewe ana umri gani, wana muda gani kwenye ndoa,wana watoto au hawana ndio tungetoa ushauri vizuri.

ila sijui kwa nini Wanaume wenzangu mumenyimwa akili kama zangu aise !

sikia mwambie hivi:

Wanaume wewe ndiye kiongozi wa familia na wewe ndio unatakiwa uwe na sauti ya mamlaka acha kuhofika kimpoteza huo ni umama.

Mwanamke inatakiwa afuate unavotaka wewe sio yayi hilo kwamba likidondoka litapasuka.

oya jamaa mbona unanifanya mpaka nakasirika ?

tengeneza Mke unayemtaka wewe acha kusema eti unahofia kumpoteza.

we vipi ?
Kampatia likizo ya kulazimisha
 
Upo negative sana brother juu y mke wako, why ,km kweli ni hivyo ulivyosema maana yake ikitokea siku kwenye tamthilia Maria anapewa mapenz au ana furaha ndani ya nyumba, je na yy huwa na furaha na anakupa mapenz au ? What I mean huyo mshkaji wako why amekusimulia upande hasi tu wa mke wake na hio tamthilia? Its seem like ana changamoto zaidi ya hio ,au hampendi tena mwenzake?Trust me wanawake wengi wapo hivyo, awe na uvumilivu itakuja epsode ya mahaba atainjoi
Ikija episode amecheeat naye anaenda kugawa nje eti!???
 
Shukuru amekua addicted na tamthilia nzuri na kuiipa hisia na kuiishi, vp ingetoka aipende"Nsyuka" na aiishi?
 
Kuna kaupumbufu kakubwa sana

Yaani Tv yako, mke wako, bando unanunua wewe, harafu uteseke

Aisee umejitakia

Acha kununua bando la TV hafu umuache uone atafanyaje

Mwanaume unapaswa uwe kidume hakuna kuteswa wewe ndiyo unapaswa umtese

Full stop

Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kuna kaupumbufu kakubwa sana

Yaani Tv yako, mke wako, bando unanunua wewe, harafu uteseke

Aisee umejitakia

Acha kununua bando la TV hafu umuache uone atafanyaje

Mwanaume unapaswa uwe kidume hakuna kuteswa wewe ndiyo unapaswa umtese

Full stop

Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
Wazo zuri
 
Back
Top Bottom