Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
Inategemea siku hiyo alikula nini labda maharage..
 
Bila shaka anamatatizo ya gesi tumboni au amekula vyakula vya kuvimbisha kama viazi mihogo maharage nk
 
Mi nadhani wanawake wakigeukia sehemu yenye upepo na upepo ule ukawa na access ya kuingia hata kidogo lazima ajambe jambe.Yangu ni hayo
 
Upepo unakuwa umejaa sasa anatoa
 
Mwenza wako kujamba jamba "pyuuuuuu" wakati wa kugegedani tatizo ni nini?
kaa mkao huu ....pyuuuuuuuuu......geuka hivi ...pyuuuuuuuuuuuu...ukicheka ni so inabidi kuuchuna.

TATIZO Ni nini?
Hujatwambia mwenzi wako ni Mtu mke au Mtu Mume? Anajamba sasa ndio raha ya kugegedwa anatoa gesi mbaya iliyoko tumboni. Wengine waki gegedwa wanatoa choo cha haja kubwa nini kujamba jamba huko kwa mwenzi wako ana gesi tumboni mwambie anywe maji ya Uvuguvugu kila wakati na ale punje moja ya kitunguu saumu kila siku asubuhi,mchana na usiku gesi itaoondoka hiyo tumboni.

Mwe...! Namsubiri daktari MziziMkavu huenda atatupa sababu za kisayansi.
Mkuu Katavi hujambo lakini?
 
Duuh litakua tatizo kubwa hilo lilisababishwa na watu..
 

Nipo safi kabisa mkuu..
Asante kwa elimu hii, nadhani mtoa mada atakuwa kapata suluhisho.
 
MziziMkavu hewa inayokuwepo tumboni haihusiani na hewa inayotoka ukeni!
Kuna baadhi ya mikao ya kwenye tendo la ndoa inasababisha hewa kuingia ukeni mfano "Doggystyle"..Kwahio msukumo wa hewa unaongeza pressure hatimae kupeleka kujamba kama njia ya mwili kuitoa hio hewa...
Kuongezeka kwa ukubwa wa uke pia huchochea hewa kuingia ukeni..Kama mtu anatatizo hilo namshauri afanye KEAGEL EXERCISE ili kuukaza misuli ya uke!
 
exaust imetoboka itakua!! ila wanasema kua eti kama mara yako ya kwanza aua cku yyt ile ukiwa mchezoni ukijamba tu inakua kamchezo kako kila game we ni pyuuuing!! pyuuuu ka stop engine ya fuso sa cjui kuna ukweli!!
 
Tusishindane wala kubishana umeona Thread ilivyo andikwa? ni kujamba unajuwa maana ya kujamba?

muanzishaji hakusema hewa inatoka tumboni amesema kila anapogegedwa huwa anajamba sasa unajuwa neno kujamba? ndio hapo mjibu

na mpe Dawa huyo kila anapo gegedwa huwa anajamba ninakuomba umpe dawa. Tusipende kuzungumza maneno mengi pasipo na kutafuta

ufumbuzi haya lete dawa hapo. Wengi wachangiaji wamesema maneno matupu pasipo na kuleta ufumbuzi tusiwe kama hawa ninakuacha.
 
Sio kila tatizo lina dawa mkuu!!Na mimi sibishani naeleza kutokana na knowledge yangu...sawa kama ana tatizo la kujamba then ufumbuzi uloutoa wewe utakuwa wa suluhisho lakini kama hewa inatoka kwenye uke FACT NI KWAMBA HAISHUSIANI NA YA TUMBONI PERIOD!!!!!
 
Alichosema ni kujamba sasa wewe lete ushauri wako akae mkao gani wakati ana gegedwa ili asiweze kujamba wewe ulitaka nimjibu vipi bibie mimi49 ?Tusishindane kwenye Thred ya mtu aliyeanzisha. Ukitaka mashindano anzisha Thread ya kwako tushindane unasemaje?Sijatoa mimi ufumbuzi nimetoa ushauri wangu akiweza ataufuata asipoweza hawezi kufuata mpe na wewe ushauri wako.kila mtu anatoa mawazo yake na wewe toa ya kwako sio mambo ya kushindana samahani kwa hilo bibie.
 
Wewe ndio unaeleta ushindani kwani tuna chakuongelea la ziada?Kujamba anapogegedana inawezekana ni kujamba kutoka ukeni au kwa njia nyingine kwahio hapa keshapata majibu ya maswali yote mawili,mhusika ndio hakujieleza kwa ufasaha...Nimemaliza!!
 
Wewe ndio unaeleta ushindani kwani tuna chakuongelea la ziada?Kujamba anapogegedana inawezekana ni kujamba kutoka ukeni au kwa njia nyingine kwahio hapa keshapata majibu ya maswali yote mawili,mhusika ndio hakujieleza kwa ufasaha...Nimemaliza!!
Ninashukuru kama umenielewa bibie mimi49 Asante sana.
 
Last edited by a moderator:
Loh
si ushukuru mungu unaambulia harufu kwenye 6*6 wenzio wanazoa mzigo kabisa
unamaliza shuguli analia safii kabisa akiwa anaamka anaamka na shuka usiniulize imejaa nini loh
hope ni uwoga ama kutohimili vishindo
 

aanzishe thread ya nini
kwa nini na ninyi msikutane sita kwa sita mkaja na taarifa yaliojiri baada ya matokeo
 
mwenza wako kujamba jamba "pyuuuuuu" wakati wa kugegedani tatizo ni nini?
Kaa mkao huu ....pyuuuuuuuuu......geuka hivi ...pyuuuuuuuuuuuu...ukicheka ni so inabidi kuuchuna.

Tatizo ni nini?

mkuu hili ni jambo la kawaida wapo wengi wanajamba na wengine wanatoa kabisa choo hata kama ni kidogo yaani msambamba baada ya shuguli..wengi wanachangiwa ama na kutoku do sana na hivyo unapotaka kujiidhirisha we ni van dame kwenye sita kwa sita mwenzio anashindwa tu kufungua mlango wa nyumba na kukimbia anaamua kuvumili ukivumilia sana unaleta uwoga sasa kuna ladha mbali mbali za kuondoa uwoga we angalia hata siku ukiletewa jina lako la redenders kitu cha kwanza unakimbilia chooni ama kunya ama kujamba na hii ni kupunguza uwoga ...sasa wengine wanakosa hali ya kuhimili uhalisia wa viungo vya mwenzake na kupeelekea kufuashuka kila siku na hata kuzoea kale ka smelling kanachotkea

else kama una mhisi vibaya jaribio kamilifu mwombe mungu akupe mtoto ...ikifika kwenye kujigungua kama akijamba mashallah usiogope ni kale kale kaauwogha else manesi mtatusaidia nini kagonjwa gani

napita tu
dk basiasi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…