Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
Smile jamaniiii ndo ushauri huo kwa mwanamke mwenzio yaani hivvi huyu nndg alitaka mkewe kajambe kwa nani. Yyuko huru huyo mwanamke kwa mme wake alaaaaaah.
 
Mimi na mke wangu tunapenda sana utani. Lakini huu utani wa kufikia mahala haoni aibu mpaka anakua ananijambia tukiwa kitandani..mi sipendi kweli. Mpaka nasafoketi. Afu anajamba mpaka pua inachachuka kabisa. Nikimwambia anaona kama utani...

Nipeni ushauri wadau.... Nampenda sana mke wangu.
ULIPOKUWA UNAMTONGOZA ULITUSHIRIKISHA? TATUENI HILO TATIZO KIMYA KIMYA.HUO NI UBAVU WAKO! TAMBUA NAWE NI MTAALAMU WA KUACHIA USHUZI KAMA ASEMAVYO MKEO NI KWELI.!
 
Ongea nae serious mkiwa out of bed. Labda seblen mnakula au sehemu nyingine. Mkeo anaumri gan mkuu?
 
Mimi na mke wangu tunapenda sana utani. Lakini huu utani wa kufikia mahala haoni aibu mpaka anakua ananijambia tukiwa kitandani..mi sipendi kweli. Mpaka nasafoketi. Afu anajamba mpaka pua inachachuka kabisa. Nikimwambia anaona kama utani...

Nipeni ushauri wadau.... Nampenda sana mke wangu.
Mkuu nimesoma na kusikia sehemu mbalimbali, hata humu JF kuna topoki hiyo. Kwamba mwanamke akiwa anajamba sana mchunguzi pengine keshafumuliwa marinda. Kuwa makini sana ndugu na hilo
 
Taarifa zilizopo wametimuana,,,mke karud mza .....wa mwanza aendeleze sebene..
Pole lakini kiongozi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom