Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
Ndugu wana MMU,

Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu.

Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.

Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.

Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu?

Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?

Please help
"..Nunua pafyum akiharibu hewa.. urekebishe fasta"
 
wana ndoa ni mwili mmoja, ukijenga mazingira ya kuuzoea utaona wa kawaida saaana
 
Kujamba jamba sana ni hali inayotokana na ulaji wa kilafi mtu anashiba hadi anavimbiwa na pia anapokula na kunywa maji kabla ya muda walau nusu saa kupita baada ya kufakamia sahani ya ubwabwa wali na mboga jamii ya mikunde ambazo hujaza gesi suluhisho ni kumwekea kipimo cha saizi ya ngumi kwa kila mlo na hakuna kunywa maji vyakula jamii ya mikundu aache kwasasa walau hadi utakapoona harufu za kutisha na ajabu ajabu ameacha kuzitoa
 
Jf raha,eti kila akitaka kujamba awe anakimbia kwenda chooni!.Hii ni changamoto ndogo sana kati ya changamoto za ndoa ninazozifahamu,hili sio jambo la kuomba ushauri hapa JF,labda kidogo facebook.Ila mvumilie tu.Wengine wanasema hivi, kama mke wako hata kujamba tu anafanya siri kwako je vipi mambo mengine?
 
Ndugu wana MMU,

Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu.

Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.

Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.

Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu?

Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?

Please help


nawe mjambie kwani kujamba ajabu ,akijaa moja unampa viwili akijaa viwili unamjaa x2 zaidi ngoma droo acha uboya.
 
Ndugu wana MMU,

Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu.

Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.

Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.

Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu?

Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?

Please help


anakupenda huyo usimwache au hukuapa kwa shida naraha .
 
Hiyo ndio ishara kuwa ndoa yenu imekomaaaa,ndoa mpya hakuna raha kamahiyooo
 
Mimi na mke wangu tunapenda sana utani. Lakini huu utani wa kufikia mahala haoni aibu mpaka anakua ananijambia tukiwa kitandani..mi sipendi kweli. Mpaka nasafoketi. Afu anajamba mpaka pua inachachuka kabisa. Nikimwambia anaona kama utani...

Nipeni ushauri wadau.... Nampenda sana mke wangu.
Nawewe tafuta jambia umjambie maana dawa ya moto ni moto.
 
Mke kujamba kama unampenda mbona wengine ndo tunapenda? Ila kama carbondioxide anayotoa kama inatoa harufu kali bas anatakiwa atumie busara ya kutoka hapo sehem aendd uani atoe kwanza ushuz wote then arud. Ila mkeo akikujambia wakat mwingine ni ishara kuwa mapenz yamekolea hivyo amesarrenda kwako na kajiachia kwako. So wew mpende zaid na mpe doZ zaid
 
Mshauri awe anajamba silent,ila kama ni ujambaji anatoa mlio kama wa bodaboda lazima umuonye kila mara.
 
Ndugu wana MMU,

Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu.

Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.

Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.

Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu?

Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?

Please help
Bro dawa yake huyu ndogo sana wewe mle tako,mwambie kadei anavyojamba ndivyo wewe unapata hamu ya tigo
 
tafuta jinsi ya kusawazisha..kabla ya kulala kula bisi, mayai ya kuchemsha, mahindi ya kuchoma. karanga na mtindi ataiona habari yake
 
mkuu hayajakufika wewe
Lakini mbona kwa muda mfupi sana na kwa tatizo dogo sana umeshasahau kiapo chenu mlichokula cha kuvumiliana kwa shida na raha??? Ulipomuoa hakuwa hivyo, kwa nini usiamini kuwa hilo ni tatizo na unapaswa kulivumilia???

Mwisho, mke mpe heshima yake bana!! Asipojiachia kwako akajiachie kwa nani tena, ulipaswa kumtania na kucheka pamoja akijamba badala ya kumfokea na kununiana bana!!
 
Kujamba n afya, wacha sjiachie! Kuna nchi kujamba n heshima kwa mwenye mji, inaonyesha jinsi gan unawahudumia vzr
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom