Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama namjua.toka pande flani hvi za kisimani.?Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu.
Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu?
Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help
Haya sasa nenda kamjulishe mkeo kuwa umefungua uzi wa kumhaibisha JF akija hapa akisoma comments za wadau ataona ni jinsi gani mumewe unavyompenda hata umeamua kuomba ushauri juu ya tabia yake, na atakushukuru na kujirekebisha.
Mshauri awe anajamba silent,ila kama ni ujambaji anatoa mlio kama wa bodaboda lazima umuonye kila mara.