Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Unajuwa thread zingineaanzishe thread ya nini
kwa nini na ninyi msikutane sita kwa sita mkaja na taarifa yaliojiri baada ya matokeo
aanzishe thread ya nini
kwa nini na ninyi msikutane sita kwa sita mkaja na taarifa yaliojiri baada ya matokeo
Unajuwa thread zingine
huwa hazifaa kuwekwa hapa kwenye jukwaa la JF Doctor hii Thread ingelifaa kuwekwa kule kwenye jukwaa la Mambo ya
kikubwa. Hapo tungeweza kusema maneno mengi huenda huyu Bibie anaye jamba wakati wa tendo la mapenzi huenda pia
dume mfanyaji anamfanya kwenye (0715) hiyo pia inachangia wanawake wengi kwenye sehemu zao za siri kuwa wazi
kutokana na mapenzi ya tigo wengi wanawake wanatumia Tigo kule nyuma kunakuwa kuko wazi wakatı wote siwezi kusema zaidi mimi mlokole wa dawa za kienyeji.
Loh
si ushukuru mungu unaambulia harufu kwenye 6*6 wenzio wanazoa mzigo kabisa
unamaliza shuguli analia safii kabisa akiwa anaamka anaamka na shuka usiniulize imejaa nini loh
hope ni uwoga ama kutohimili vishindo
mh! haya... acha nikae kimya.
But wanawake huwa awajisikia vizuri inapotokea hiyo kitu, sasa wewe mwenzao sijui why unaipenda.....
Mimi tofauti na wao......kwani unachokipenda ww wanaume wote wanakipenda?
Sasa kama umeamua kuacha sasa humu unayaleta ya nini?Huko ni kumshushia heshima mkeo au kwa sababu unatumia jina la mimitungi.
Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu. Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu? Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help