Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Daah wanaume wanazid kupungua aisee. Uko serious kabisa mkuu? Kwa kifupi huyo mkeo hakufai. Huyu ukiishiwa au ukianza kuzeeka utafute pa kuishi ni shetan, mpige chini Nimeumia sana daa
 
Umeona enh!
Yan nawaza tofali, alikuwa anaua nyoka? aiseeeh
 
hivi umejitafakari siku ukiishiwa ama ukapata ulemavu au matatatizo ya muda mrefu atakutreat vipi huyo mkeo??? tatizo mnaoa kwa vigezo vya sura na matako ona sasa...
 
Da kwa uchungu kabisa pole ndugu yangu ila tatizo linaanzia kwako bila shaka huna kauli katika nyumba yako sio mtu wa kuheshimika na familia yako mungu akutangulie
 
kama unajua mkeo ana tatizo na kukaa na watu,ni simple tu,any ndugu,mtoto wa mtu asie wake,etc usiwalete hapo kwake

watunzie huko huko walipo,au kama vipi wachukulie nyumba ingine pembeni huko

otherwise utaharibu nyumba yako just coz unajua "kukaa" sana na ndugu zako.....

nachojua matakwa ya mkeo ndio ya kwanza,mengine ni socondary,sasa wewe yaelekea unafata unachotaka wewe,she will not agree,na ndoa inakua ngumu kwa viburi vyenu wote wawili

unachoshindwa kujua ni kwamba kiburi cha mkeo ndio cha kwanza kukihudumia,ndugu ni mwishoni no matter ni ndugu close kiasi gani regardless

hao ndugu zako watunzie walipo au walelee nyumba ya mbali...hii mambo ya kuadopt watoto bila consent ya mwanamke mwenye nyumba ndio inaleta shida kiasi hiki mpaka ukaleta uzi hapa,it means imeathiri nyumba yako already

get rid of everybody,bakiza huyo mwanamke na watoto wake na wewe,otherwise unasukumizia huyo mwanamke watu asiowataka,aidha ataondoka utabaki na hao ndugu zako unaoona wa maana kuliko comfortability ya huyo mwanamke

Chagua,lay in or lay down
 
get rid of everybody,bakiza huyo mwanamke na watoto wake na wewe,otherwise unasukumizia huyo mwanamke watu asiowataka,aidha ataondoka utabaki na hao ndugu zako unaoona wa maana kuliko comfortability ya huyo mwanamke

Chagua,lay in or lay down
Hili mwanamke la hovyo tu! Unaona jamaa anasema lina mtoto wa kakake yuko karibia anamaliza form four kwa gharama za jamaa! Kwa nini ndugu wa upande wa mwanaume wasikae kwake? Kama ni hivyo basi wakubaliane kuachana na ndugu wa pande zote!
 
Huyo mwanamke pona yake ilikua ni baada tu ya mtoto kufika hospitali hatua inayofata ni kwenda kuchukua Pf3 halafu hio kesi ya jinai unawaachia dawati la jinsia waishughulikie.
Hakuna kitu inauma kama kuona mtoto yatima ananyanyasika na kuteseka ndani ya nyumba yako, halafu mtoto mwenyewe ni mpwa wako tena mdogo wa miaka 8.
Mjomba ni mama, kwa huyo dogo wewe unatikiwa u play part ya mama yake.
 
Hii story!!!
Sidhani,hayo mambo yapo. Mimi yalinikuta kwa mtoto wa dada yangu..(natafuta maisha sehemu ya mbali,sikai nyumbani) alisoma O level kwangu..asubuhi anakwenda shule bila kula chochote(wanaficha mkate/maandazi/kiporo cha wali/kande) ili asipate chochote asubuhi.. kuna siku nikifika,alikuwa amekonda balaa.. nikaanza kujua ni nini.. nikiwa nyumbani anamjazia vyakula mezani.. ni mateso. Nilifanya maamuzi magumu hakika..
 
Mbona hiyo ni jinai. Unatunza mhalifu ndani. Toa taarifa serikali za mitaa, ustawi wa jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…