Ndoa,uchumba na urafiki mwingi umeharibikia facebook.wapo wanaoitumia vizuri,na wapo wenye matumizi mabaya katika facebook.Facebook,ilikuwa zamani c sasa hivi,ndio maana,wanandoa wengi siku hizi huwezi wakuta facebook.
Mkeo mzinzi ndo maana anashindwa kukuamini,anayofanya yeye anadhani na wewe unafanya pole sana ndo mitihani ya maisha ..ila una moyo wa upole kweli ,wife katembea na rafiki yako ukasamehe,bado ukabamba msg kwenye simu ukasamehe,uendelee na moyo huo:A S-coffee: i see
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.