Mke wangu ananikera kwa tabia yake ya kutopenda kuoga

Mke wangu ananikera kwa tabia yake ya kutopenda kuoga

Hana tatizo, anakupenda na ameiga tabia yako
 
Uyu kijana nivi i muongo, kuna mama mmoja clouds fm saa sita kasoro ktk kipindi cha leo tena alikuwa akijadili huu udwanzi pia ukoko, mkeo unamsingizia, wakati ni tabia yako daily kuzama chunvini,... Puhh
 
wewe si ulikuwa unatafuta mtaala wa biology na chemistry kwenye jukwaa la elimu? Shule hujamaliza mke umemtoa wapi? Au ndo wanafunzi mnaorukia mapenzi mapema baadae mumlaumu ndalichako? Acha kuchezea akili za watu.
 
Acha kutuzuga bana eeh!!!!! Wewe ndiye unaependa hiyo harufu
 
umeni cot vbaya mjomba co jukwaa la lugha kuna mdogo ang anataka io lakn anataka nimshaur name cjui k2 dat y nkaulza il nkampe mambo umenpata

We kweli upo form 1 ona uandishi wako usivyokuwa na nidhamu hatuko facebook hapa
 
Anadai et anapenda ile harufu ya uke wake (uvundo) kuunusa .. Iv wataala wa kisaikolojia anaweza kuwa anasumbuliwa na nn?
ngojeni niwaambie ukweli nimeona hili ukiona mwanamke kama huyu uju mwanaume wake nae anasmell hivyo anaona vyema harufu ziwe sawa sasa ushauri wangu ukifika tu nyumbani kimbilia kuoga uone kama na yeye atooga ukikaa na laprop mpaka usiku ndio uoge na yeye aanaitaji kushabihiana na hiyo harufu yako ndio maana kanisani mkaitwa mwili mmoja na kifo ndiko kitawatenganisha na sio JF DARE 4MORE
 
ana mimba?mana km mimba tutasema ndivyo ilivyomkalia km yu kawaida......hm
 
Back
Top Bottom