Mke wangu ananilazimisha nimcheat...

""Umeshanicheat Mara ngapi?""hili swali inaonekana kakitembeza huko Nje si mchezo anataka kujua na wewe umeyafanya mauchitiji Mara ngapi ili alinganishe!!
 
Kuna watu waoga, jambo dogo tu utasikia kapime ugonjwa wa zinaa na ukimwi, watu tumechakata papuchi Hadi za wameza vidonge but tupo fresh. Nina watoto wa4 wamezaliwa salama na **** nimezipiga kavu mademu wanajaa coaster mbili.
Hahahahaa
 
Usha chapiwa wewe nafsi aija mtulia ana tafuta score iwe 1-1
 
Mkuu una kifua lakini?

Kwa huo mwenendo aliouanza shemeji, kuwa na uvumilivu.

Wakizinguana atarudisha moyo
 
 
Mbwa kala mbwa ngoma droo alietoa hela bandia kapewa cheni bandia, hata yeye ni km wewe tu! hajawahi kukusalit mkiwa wote analinda ndoa yake ila unaposafr au anaposafr anatoa papuch km kawa
 
Tembelea wembamba wa kamba yako dingi
 
Aisee wee jamaa umeokota dodo chini ya mwarobaini....yaani mwananke wa hovyo ndio mwenye. Hamna mambo ya kudanganyana kuwa sichepuki...mnatamiwa kuongea freely kabisa bila shida yoyote ile mwanawane
 
Hivi ni mimi sijaelewa au niaje? Kila nikitafuta sehemu mkeo aliposema uchepuke sipaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…