yaani hata Putin wa Urusi akikupigia simu kujaribu kuwasuluhisha mkatie na umblock.Amuache kwa ujumbe mfupi tu wa maneno wala asihangaike na ndugu maana keshasema ni baba yake tu ndo muelewa.
"Hii ndoa nimeivunja, upo huru, Sikuhitaji"
Akishatuma asipokee simu zake, ila ndugu wakipiga ni sawa kupokea. Kama ukijua kakusaliti kingono Usimrudie hata ndugu au yeye atambae kwa kilio, yaani hata Putin wa Urusi akikupigia simu kujaribu kuwasuluhisha mkatie na umblock.
🤗Mke hasomeshwi Baba,...ila nakupa pole.Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.
Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.
Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.
Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.
Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.
Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Utakayemuoa atakuwa na confidence ya kukupa penzi?!Nkipata hela naoa
😂😂😂😂 Kweli JF ni sexlessSamahani mkuu...umejisahau au wewe ni mwanaume?
😂😂😂Kwenye makosa ambayo baharia anatakiwa asifanye.
Wewe umeharibu Moja nalo ni kumsomesha.
Mengine kumtafutia kazi
Kumbuka kitabu Cha wahuni 8:3
Kama anajua kuendesha gari na unamiliki gari legeza hizo breki za gari halafu mpe aendeshe ili akapate ajali apate ulemavu au atangulie akhera kabisa asikuletee dharau wewe ulimtoa matopeni na yeye leo anajiona 💎Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.
Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.
Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.
Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.
Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.
Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Oooh preach!,..Have a name!,..have a name.Nitasoma kama ilivyoandikwa wahuni 8:3
Nae akasema mchumba hasomeshwi
Asiponipa napiga chiniUtakayemuoa atakuwa na confidence ya kukupa penzi?!
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.
Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.
Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.
Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.
Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.
Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Teh teh teh teh si kweli lakini? Angempa hiyo pesa mama yake akafuge hata kuku basi angekuwa anawapikia supu wajukuu zake wakimtembelea
hahahahhahhahhahhaSamahani mkuu...umejisahau au wewe ni mwanaume?
Kama kakuzalia Nini kusomesha hata nyumba na magari namuachiaMlishaambiwa kama umeamua kumsomesha mwanamke msomeshe ufundi cherehani
Ona sasa wahuni wanakukazia
Hahaha.Asiponipa napiga chini