Mke wangu ananiletea Usuperstar


Dah nmechek sio pow[emoji119]
 
Ungesimama na kumpa hii Mwamba pamoja na kumtia moyo[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Siku moja nliandika humu
Kua

Ili uishi maisha matamu
Owa mwanamke asie na kitu!
Yaan anaejua kusoma na kuandika tu!

Mwanamke ni chombo
Ukijiskia hamu kitumie
Na kwakua ndipo unapomwaga mbegu zako basi patunze na upapende!
Full stop!

Ukimpa NGUVU mwanamke itamtesa! Kuanzia yeye hadi wewe!
Katika wanawake kumi
Ni wawili au mmoja tu anaeweza ku contro power otherwise you will suffer

You will never be happy
You will never ever smile

Don’t waste your time kumfikilia mwanamke
 
Kwa kuhubiriana uongo humu hamjambo.....usimfikirie mwanamke blaa bla mwanamke sio kitu fyo fyo fyooo hebu kesho angalia tu hapa Mmu thread kumi za siku nani kaanzisha na anamlilia nani, hakuna kama papuchi hakunaaa jazaneni upepo tu ila haka kakitu ndo mwisho wenu
 
Asilimia kubwa ya wanawake wanaenda shuleni kusoma ujinga.
 
Ndio mwisho wetu na ndio maana nkasema
Mpende na umjali ila usimpe nguvu
 
Classmate wangu amefeli sana!
 
Mbasha naye alimsaidia Sana frola, baada ya kupata jina na pesa, Mbasha alionekana wa ovyo, mpaka Frola aliongea sio wote wanaovaa makoti meupe madaktari wengine wauza nyama buchani.
si unakumbuka pia ishu ya msanii wa bongo flavour Mabeste baada ya kumuuguza mke wake.
 
demu alimzingua jamaa aliyemuoa? kama ni hivyo hiyo ni karma.
Hawa viumbe muda kwao ndio huwa unawahukumu. Ni ngumu demu kumuacha mtu kwa nyodo akatoboa kiuchumi.
 
Pole sana, wanawake wengi ni malimbukeni na hawajui wanachokitaka in lifetime, wengi wakishafika chuo hupumbazwa na maneno ya uongo ya mafisi, na mwisho wa siku they think they are special.
Usisomeshe mchumba
 
Pole sana uliokota dodo kwenye mtaro baada ya kuliosha ukaweka kabatini limekatwa vipande sio lako peke yako
 
Gunia 2 tu za mkaa na 5litre za petrol then chimba shimo refu sanaaa huko kusikojulikana, mtoe out kamalize kazi kijajusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…