Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nkipata hela naoaSema mwanamke mweny elimu ,suala la kumuheshimu mumewe nj kipengele haswa mfanyakazi.
Kun mzungu mmoja alisema "Tunaishi ofisini tunapofanya kazi na kutembelea nyumbani kwetu" akiwa na maana mda mwingi watu wanakuwa ofisini na kufanya interaction na watu ,lakini mtu atembeleq nyumbani yaani akirudi ni kulala tu na asubuhi anatoka tena.
Short and clear ,watu wanatumia mfa mwingi kazini kuliko nyumbani, sasa ogopa mke anayefanya kazi.
Wanaume jf na wanawake mnajishaua hadi kerooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kajisahau
Ila hujapata 🤣🤣🤣 brooNkipata hela naoa
Bado bro ndo nipo napambana, nkizipata tu navuta jiko 😁Ila hujapata 🤣🤣🤣 broo
Tafuta gunia mbili za mkaa unamfanyia kama yule wa kigamboni. Mchezo umeishaNilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.
Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.
Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.
Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.
Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.
Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Haya broBado bro ndo nipo napambana, nkizipata tu navuta jiko 😁
Unadhani hayo maringo yatadumu basi mamiloo, ni suala la muda tu atarudi kwenye mlo mmoja na magonjwa ya aibu kama mwanzoPiga chini akaringie kwao
Atakuja jamaa mmoja atasema labda Sweden ya buza Kwa lulenge 🤣🤣🤣🤣🤣Kuna siku natembea stockholm Sweden nikapishana na jamaa anaongea kiswahili kwenye simu anang'aka akisema kama anakusumbua kwanini usimfumue tu marinda umkomoe na umpoteezee.
Nilicheka kwa sauti jamaa akageuka kuniangalia naye kuangua kicheko cha hatarii. Sikusimama nikanyoosha with stitches.
The Icebreaker
Huyo ni Trans yuko kote koteSamahani mkuu...umejisahau au wewe ni mwanaume?
Toka lini mkaanza kuoa?Nkipata hela naoa
Watu wanafanya vtu kwa nia njema, umempenda mwanamke unamuweka ndani ila unaona kabisa bila kumpa exposure hata kulea watoto hawezi, unaamua kiroho safi kufanya jambo kwa ajilh yake na kizazi chenu, mwenzako baada ya kumtoa tongotongo anakengeuka.Kwenye makosa ambayo baharia anatakiwa asifanye.
Wewe umeharibu Moja nalo ni kumsomesha.
Mengine kumtafutia kazi
Kumbuka kitabu Cha wahuni 8:3
Toka tukipata hela, george umepotea 🙄Toka lini mkaanza kuoa?
Maneno konkiHuna haja ya kumwacha! Kama anakutunzia watoto usiingie kwenye matatizo yasiyo na maana!
Unachotakiwa ni kupambana ili kutafuta pesa!
Ni kweli katika ndoa mnasaidiana lakini kwa viumbe hivi, bila pesa yako vitakunyanyasa tu.
Na hizi ndio NDOA ZENU.Wewe niwaovyoo mwanaume analilia penzi mwehu kweli tafuta pisi kali kuliko yeye yenye mapenzi ya dhati ambaye anahitaji penzi na anahitaji kweli hamia huko basi usimtamani wala kumpigia kaa kimya rudi muda utakao maana ndani hupewi kitu .
Kila weekend watoe watoto out usilale chumba kimoja naye. Usimwonyeshe dharau watoto wakihitaji kitu unawapa . Akikuomba ushauri unampa simple . Hujawahi pitia uhusiano serious ya kifala kama mie nimekuwa na mtu ila sio ndoa mpaka unyumba anakuringia . Anadai amechoka basi nikaona sio tija.
Miezi kadhaa anaringa nikaamiankwa jirani huyo jirani anajua mapenzi naalikuwa single.
Basi mpenzi wangu akanza kusanuka akaanza kuachia unyumba ila namimi nikaanza kuringa mapenzi nampa mwingine. Hadi akaja namachozi babe turudiane huku na magoti mwanadamu usiringiwe na watu
Mwanamke yoyote dunianiNilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.
Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.
Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.
Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.
Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.
Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.