Mke wangu ananiletea Usuperstar

Mke wangu ananiletea Usuperstar

Sema mwanamke mweny elimu ,suala la kumuheshimu mumewe nj kipengele haswa mfanyakazi.


Kun mzungu mmoja alisema "Tunaishi ofisini tunapofanya kazi na kutembelea nyumbani kwetu" akiwa na maana mda mwingi watu wanakuwa ofisini na kufanya interaction na watu ,lakini mtu atembeleq nyumbani yaani akirudi ni kulala tu na asubuhi anatoka tena.

Short and clear ,watu wanatumia mfa mwingi kazini kuliko nyumbani, sasa ogopa mke anayefanya kazi.
Nkipata hela naoa
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Tafuta gunia mbili za mkaa unamfanyia kama yule wa kigamboni. Mchezo umeisha
 
Kuna siku natembea stockholm Sweden nikapishana na jamaa anaongea kiswahili kwenye simu anang'aka akisema kama anakusumbua kwanini usimfumue tu marinda umkomoe na umpoteezee.

Nilicheka kwa sauti jamaa akageuka kuniangalia naye kuangua kicheko cha hatarii. Sikusimama nikanyoosha with stitches.

The Icebreaker
Atakuja jamaa mmoja atasema labda Sweden ya buza Kwa lulenge 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Pole bro Usijutie kumfanyia mtu wema kisa hana shukrani hilo siyo kosa lako ni kosa lake, muache aende ila ipo siku, mwezi au mwaka utafika na atakumbuka wema wako

Ni wanawake wachache sana wanakumbuka wema ila wengi hata umpende vipi akipata mtu wa kumdanganya siyo ajabu akakutamkia kuwa wewe hujawahi kumpenda.

Mtu huyo hafundishiki kwa kushauriwa anafundishwa na Muda, muda ndo kitu pekee kinaweza kumfundisha.
 
Kwenye makosa ambayo baharia anatakiwa asifanye.

Wewe umeharibu Moja nalo ni kumsomesha.

Mengine kumtafutia kazi
Kumbuka kitabu Cha wahuni 8:3
Watu wanafanya vtu kwa nia njema, umempenda mwanamke unamuweka ndani ila unaona kabisa bila kumpa exposure hata kulea watoto hawezi, unaamua kiroho safi kufanya jambo kwa ajilh yake na kizazi chenu, mwenzako baada ya kumtoa tongotongo anakengeuka.

unafanya nn? achana naye muda si muda dunia itampiga mateke ya kushiba, usiwaze sana ulivowekeza kwake, nina mifano hai mingi sana ya wanawake kama wa huyu mwamba. ambao baada ya kusambaratisha ndoa waliishia pabaya sana.
 
Huna haja ya kumwacha! Kama anakutunzia watoto usiingie kwenye matatizo yasiyo na maana!
Unachotakiwa ni kupambana ili kutafuta pesa!
Ni kweli katika ndoa mnasaidiana lakini kwa viumbe hivi, bila pesa yako vitakunyanyasa tu.
 
Wewe niwaovyoo mwanaume analilia penzi mwehu kweli tafuta pisi kali kuliko yeye yenye mapenzi ya dhati ambaye anahitaji penzi na anahitaji kweli hamia huko basi usimtamani wala kumpigia kaa kimya rudi muda utakao maana ndani hupewi kitu .

Kila weekend watoe watoto out usilale chumba kimoja naye. Usimwonyeshe dharau watoto wakihitaji kitu unawapa . Akikuomba ushauri unampa simple . Hujawahi pitia uhusiano serious ya kifala kama mie nimekuwa na mtu ila sio ndoa mpaka unyumba anakuringia . Anadai amechoka basi nikaona sio tija.

Miezi kadhaa anaringa nikaamiankwa jirani huyo jirani anajua mapenzi naalikuwa single.

Basi mpenzi wangu akanza kusanuka akaanza kuachia unyumba ila namimi nikaanza kuringa mapenzi nampa mwingine. Hadi akaja namachozi babe turudiane huku na magoti mwanadamu usiringiwe na watu
Na hizi ndio NDOA ZENU.

#YNWA
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Mwanamke yoyote duniani
1. Ni mbinafsi
2. Kumpa hela au kumsomesha huona ni haki yake. Usitegemee ukimsomesha au kumtoa kwenye shida basi atakuheshimu. Haipo hiyo
3. Akianza kupata hela au akiwa na kazi basi anaona anaweza maisha bila ya mwanaume.
Tuishi nao kwa akili
 
Back
Top Bottom