Maprofesa wengi wamelelewa na mama zao ambao either hawajaenda shule au ni darasa la saba.Hapana , lengo ni kua awe na maarifa yanayoendana na dunia ya sasa, aweze kuwalea watoto kwa usahihi, haikua monetary driven desire at all. N hata sasa sijawai muuliza achangie chochote kwenye familia financially, amini mkuu.
Kumbuka hata dunia hii wapo waliokuja kimchongo.Hizi ndio ndoa zetu kwa watu waliokuja kimchongo huyo hajapendwa alikuwa anatumiwa tu
Teh teh teh teh si kweli lakini? Angempa hiyo pesa mama yake akafuge hata kuku basi angekuwa anawapikia supu wajukuu zake wakimtembeleaComment ngumu Sana hii😅😅😅
Nyie ni wabinafsi mliopitiliza,period!Pole, sisi wanawake sijui mini hutupata tukishika pesa
Afumue marinda apite hiviKwahiyo unamshauri afanye je?
Hah aha chizi Sanaa wewe h ah aNitasoma kama ilivyoandikwa wahuni 8:3
Nae akasema mchumba hasomeshwi
Aise! Bora wewe. Kuna lijinga limeachwa majuzi,mtoto wake wa pili alikuwa na graduation wiki ilopita. Hata hakualikwa.Halafu ukishalea nani atakupa mahitaji ya muhimu, saivi maisha sio kama zamani ya mama zetu saivi maisha ni challenge maisha ni kupanda sio kushuka, unatafuta gari za kisasa unajenga nyumba zakisasa sio huyo tu ajenge hata wewe unaparangana unajenga hawa wanaodharau waume zao wao ndio wajinga waliwao . Hata ukiwa na mafanikio mume ni kama baba tena yule anayekupa everything.
8:4 Joanah alivyopendekeza wasomeshwe tu ufundi cherehani,wakampuuzia,wakapata majanga.Nitasoma kama ilivyoandikwa wahuni 8:3
Nae akasema mchumba hasomeshwi
Umeshakua na umeshakomaa.Ni basi tu kuna namna/changamoto zisizokwepeka kwa wengine wetu.....otherwise mimi binafsi naona inabidi iwe hivyo
Mkuu, si kwamba wengi hilo wazo hawana. Si wengine unakuta hata vyumba kila mmoja ana chake? Wakati mwingine unaacha pesa watoto wakaandaliwe chakula unakuta hamna kitu? Wakiuliza wanaishia kusonywa tu!!! Mara zote waliokwisha zaa,wanaishi kimtindo tu kwa faida za watoto. Na kibaya zaidi hao wa hivyo,kulea wenyewe hawawezi. Na mwanaume anaangalia anaanzaje kupanga huku amejenga,haelewi.Mwanangu mshikaji msela mzee baba mzee mwenzetu kijana
Hapa utapokea Kila ushauri ila kiufundi ulishafeli mwanzo .
1:Fanya yako ikiwezekana usile hata chakula chake yaani ishi Kama umevurugwa.
2:Amua kiume safirisha kwao Kama atatoka kwao akapange sawa.
3:Ukiweza Fanya maamuzi kutokana na comment s za humu ujue UMESHAKUA na mapenzi hayatakubabaisha tena.
Lakini ukishindwa kuamua moja mpaka unakufa utateseka tu na huna Cha kumfanya.
Hapo unasikia kaolewa haeleweki,jama kamsitiri,baada ya kupata elimu na kazi,wasela mtaani wakaokota mali yao ilokuwa imepotea.Mliooa wasomi kazi mnayo[emoji16]
indeed, it's a probability,It's a probability,
Pole sana mkuuNilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.
Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.
Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.
Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.
Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.
Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.