Mke wangu ananiletea Usuperstar

Mke wangu ananiletea Usuperstar

Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Hatutizamia KIOO juani. Okoa muda na Macho yako. Elimu uliyompa inamtosha
 
Yeah ni sahihi. Asijilaumu. Assamese na a move on tena kama inawezekana afanye sasa kuliko kusubiri amfumanie. Atajiwekea sumu moyoni mwisho wa siku watoto wenu watakosa wazazi.

Acha aendelee na maisha yake mkuu. Muweke chini, mpe msimamo wako mbele ya ndugu zako na zake kama hasikii muache tu maana utakuja kuua.
Amuache kwa ujumbe mfupi tu wa maneno wala asihangaike na ndugu maana keshasema ni baba yake tu ndo muelewa.

"Hii ndoa nimeivunja, upo huru, Sikuhitaji"

Akishatuma asipokee simu zake, ila ndugu wakipiga ni sawa kupokea. Kama ukijua kakusaliti kingono Usimrudie hata ndugu au yeye atambae kwa kilio, yaani hata Putin wa Urusi akikupigia simu kujaribu kuwasuluhisha mkatie na umblock.
 
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Piga chini chukua chuma hapa 👇 mahari nitalipa

1701795981306.png
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Pole sana mkuu!

Kama vipi mpe cheo awe Bi Mkubwa
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Bro,
Akishaitwa mtu mzima,mwenye uwezo wa kuamua anavyotaka, wala usohangaike. Kosa kubwa ngozi nyeusi inalofanya,wanaume wakipenda wanataka waingie chumba cha siri. Wanawake wanawaacha wanaume waingie chumba hicho cha siri, lakini hawawashiwi taa. Hivyo ukiingia gizani mwanaume,huoni chochote utatoka tu. Kila ulichokifanya kwa wema na manufaa ya familia, mwenzako alikuwa anakutaim tu.

Ushauli wa nini ufanye ni wewe mwenyewe. Lakini ukiona manyoya,ujue kesha liwa.
Bahati mbaya ni kwamba mazingira hayo yanaathiri watoto.

Mengine badae yule kumbikumbi akasome na hii comment kwanza
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
baby wake wa shule anamkaza na anampa vitu adimu, wewe anakuona BS
 
Mungu awasaidie, kuna sehemu amejikwaa akaanguka, apukute vumbi arudi kundini maisha yaendelee.

Wanawake ni viumbe wa ajabu, haijulikani kipi wanataka na kipi hawataki.

Huwa wanapenda amani na furaha mdomoni lakini kiuhalisia ni wepesi wa kukengeuka na kuleta shari ndani ya ndoa pindi amani itawalapo.

Sikushauri uachane, tumia njia zote chanya kunusuru ndoa yako.
Una roho mbaya
 
Sasa ukali uko wapo hapo?

Usikute wewe neno usinipangie umelisoma kwa ukali halafu unanisingizia mimi
Hakika, halina upole hilo.
Yaani neno lenyewe tu ni kali katika hali yoyote ile.
Hata hivyo tuachane na haya, tutafakari tu ya mleta mada. Maana ukisikia kupatwa kwa ndoa ndiyo hivi.
 
Back
Top Bottom