Mke wangu ananiletea Usuperstar

Mke wangu ananiletea Usuperstar

Men date down while women date up. Wanawake wa kizazi hiki kasumba yao ni kutafuta vitu vilivyo nje ta uwezo wao na juu ya uwezo wao.

Kosa ulilofanya ni kum'upgrade mwanamke wako ukiamini unafanya wema bila kujua kwa kufanya hivyo una mdhoofisha eneo la kukutii wewe.

Malengo yako sijui yalikuwa ni yapi ila ulichofanya tafsiri yake ni kwamba unataka mwanamke awe bora zaidi maeneo mje ya uhusiano wenu jambo ambalo umefanikiwa sasa kwa kumfanya ajione bora zaidi na anahitajika huko nje kuliko hapo ndani kwenu.

Msomeshe mtoto wa kiume awe na maisha bora ajenge familia bora, somesha mtoto wa kike awe na maisha bora awe single mother na kuongeza kizazi cha nyoka kwenye jamii.
 
Wewe niwaovyoo mwanaume analilia penzi mwehu kweli tafuta pisi kali kuliko yeye yenye mapenzi ya dhati ambaye anahitaji penzi na anahitaji kweli hamia huko basi usimtamani wala kumpigia kaa kimya rudi muda utakao maana ndani hupewi kitu .

Kila weekend watoe watoto out usilale chumba kimoja naye. Usimwonyeshe dharau watoto wakihitaji kitu unawapa . Akikuomba ushauri unampa simple . Hujawahi pitia uhusiano serious ya kifala kama mie nimekuwa na mtu ila sio ndoa mpaka unyumba anakuringia . Anadai amechoka basi nikaona sio tija.

Miezi kadhaa anaringa nikaamiankwa jirani huyo jirani anajua mapenzi naalikuwa single.

Basi mpenzi wangu akanza kusanuka akaanza kuachia unyumba ila namimi nikaanza kuringa mapenzi nampa mwingine. Hadi akaja namachozi babe turudiane huku na magoti mwanadamu usiringiwe na watu
Kumbe wee Ni mtoto wa kiume mwenye jina la kike
 
Tatizo sio mwanamke tatizo ni mwanaume
1.una sheria kwenye boma lako?
2. ulitoa elimu ya sheria zako?
3.una ubavu wa kuzisimamamia sheria zako kama bot au na wewe ni dhaifu kama mwanamke wako?
4.ndoa ni vita mwanamke akianza kukuzidi kipato acha kulala kama mtoto yaani mue mnakutana kwa nadra kwelikweli

NOTE; majini hayauzwi kanisani mwanamke akipata fedha ni kama kununua majini, akitaka auze cheti cha ndoa kwa dada wa kazi rahisi sana, akitaka awe single maza utaona tu jeuri zake
mwishoni akipata fedha nyingi na yeye atatunga sheria zake kwenye boma lako mpaka hapa ndio bendera itakua nusu mlingoti,
mke ni mke tu hata aolewe na masikini, bad bitch dreamchasers wameshindikana kuna wanawake kama huwezi propaganda zakuwatafuna saikologia hutoboi yani kama tunavotawaliwa na wazungu bila kupenda fanya ivo ivo.
 
Pole, siyo kwamba kabadilika, hiyo ndo tabia yake halisi, tabia halisi ya mtu inakuja baada ya kupata pesa, cheo au elimu.

Kama mtu ana hizo sifa tatu halafu akabaki kuwa humble, huyo ndo mtu sasa.
tena karithi kutoka kwa mama yake, ndo maana mama yake anampa kichwa, huyo baba yake atakuwa anateseka sana basi tu.
 
Maprofesa wengi wamelelewa na mama zao ambao either hawajaenda shule au ni darasa la saba.
Dunia imebadilika, zamani malazi yalikuwa ni suala la jamii nzima, siku hz malezi ni baba/mama, kimsingi kuna kitu mwamba aliona hakipo sawa kwa hyo mwanamke ndo maana akaamua kufanya hvo ili kumtoa tongotongo aweze kulea watoto vzuri,

zamani watu walikuwa wanaenda shule peku peku, kwa hyo tusiwanunulie watoto wetu viatu vya shule ili waende shule peku kama sisi?
 
Tunaendele Kujifunza mwanamke anapaswa kujisomesha mwenyewe ,atakuwa na adabu na kuheshimu utu na watu
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Pole. Ila kuna kosa ulifanya ni kuanza kumsomesha. La sivyo ulitakiwa kujua tangu mwanzo kuwa kumsomesha mchumba au mke miaka ya mwanzo ya ndoa ni majanga, na kama umeamua ulitakiwa kufanya kama sadaka tuu hata mkiachana usiumie. Mke wa kusomesha walau mmezaa watoto 3 au 4. huyo haendi popote
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Maamuzi ya kiume haya.mtafutie kosa upige chini japo watoto huwa wanapata tatizo libwa sana kisaikolojia wazazi wakiachana lakina hakuna namna .
 
Mwanangu wewe jua tu kwamba anapokuwa kwenye majambozi anakutukana sana! Wanawake wa dot com ni umbwa anapokuwa kule nje wananyanyuliwa miguu mpaka darini, vi kifulambute havinaga mchezo ndiyo hayo madharau! Kama amesoma na akapata kazi lazima akanywe! Mzee Mnzavas nate alisomesha mke akapata kazi kutoka kwenye kufanya usafi hospitalini mpaka kuwa nesi, sasa hivi anakaribia kufa bila msaada wa mke wala mtoto!
Unamzungumzia Mzava ambaye ndo mkuu wa Baraza la madaktari Tanganyika? MCT?
 
Ni bora uanze upya na maisha ya furaha kabisa, hamia mji mwingine tafuta mke mwingine ujiendeleze kuendelea kukaa naye karibu hapo na bado anakuendesha namna hiyi, jua utaibua msongo wa mawazo mkubwa na mwisho wake uishie kupatwa na majanga. Wanaume wengi hufa mapema chanzo ni kuumia ndani kwa ndani kwa kuwaza sana, sasa wewe epusha hayo na jiondokee hapo.

Ulipata nyumba ya maana kama watoto wanajiweza chukua uishi nao tu, wewe hapo anapoishi mwachie hivyohivyo. Usimdai chochote
 
Unamzungumzia Mzava ambaye ndo mkuu wa Baraza la madaktari Tanganyika? MCT?
Hapana, Mnzavas mzee wangu huku Shy. Wamama hawafai kabisa mzee ametoa from nowhere mpaka naye akawa binadamu msikini amekuja kumtelekeza uzeeni!
 
Back
Top Bottom