Mke wangu ananiletea Usuperstar

Mke wangu ananiletea Usuperstar

[mention]Maleven [/mention] brother umeandika kwa ufupi sana
Ila kila neno uliloandika limebeba maumivu makali sana

Kitu pekee naweza kukushauri ni

Tafuta amani ya moyo wako.
 
Wanaume nje mnaonekana mashujaa sana ila mioyo yenu ni milaini mno kama theluji...huyeyuka dkk chache na kuumaliza mwili wote...ndipo hapo magonjwa huwanyemelea na mwisho kufa mapema..

Vitabu vya dini havikukosea kuwaambia muishi nasi kwa akili...
Hii statement ni nzito sana nadhani wanaoweza kufumbua fumbo la akili zipi na azitumie vipi juu ya mkewe ataishi kwa amani na maisha marefu...

Shida ya wanaume wa sasa ni kujifanya kuishi kizungu hapa nadhani mnaelewa...wenzenu wazungu wana ndoa za mikataba hawataki kufa mapema...la sivyo fateni maisha waliyoishi ma baba zetu na mama zetu...hebu rudini vijijini kwa mababu basi muulize how to live with a woman kama mtaona noma kuwauliza wazazi wenu labda mtapata hints...

Tunawapenda jamani waume zetu...ishini na sisi kibabe tuu hamna namna. Toeni sheria tutii full stop...
 
Nilishawahi kusema kwenye uzi kwamba hii dunia haimuhitaji mtu anaeitwa;
1. Nice guy.

2. Nice husband.

3. A good father.


If you want to be :

1. A nice guy or.

2. A nice husband or

3. A nice father.

You will be punished kama ambavyo mtoa mada ana " punishiwa" kwa kosa la kwenda kinyume na dunia.

If you want to be a nice guy of nice husband or nice father just be it but for your own risk.

Ni moja ya nyuzi zako PENDWA kwangu

Be blessed mwanangu[emoji119]
 
Wanaume nje mnaonekana mashujaa sana ila mioyo yenu ni milaini mno kama theluji...huyeyuka dkk chache na kuumaliza mwili wote...ndipo hapo magonjwa huwanyemelea na mwisho kufa mapema..

Vitabu vya dini havikukosea kuwaambia muishi nasi kwa akili...
Hii statement ni nzito sana nadhani wanaoweza kufumbua fumbo la akili zipi na azitumie vipi juu ya mkewe ataishi kwa amani na maisha marefu...

Shida ya wanaume wa sasa ni kujifanya kuishi kizungu hapa nadhani mnaelewa...wenzenu wazungu wana ndoa za mikataba hawataki kufa mapema...la sivyo fateni maisha waliyoishi ma baba zetu na mama zetu...hebu rudini vijijini kwa mababu basi muulize how to live with a woman kama mtaona noma kuwauliza wazazi wenu labda mtapata hints...

Tunawapenda jamani waume zetu...ishini na sisi kibabe tuu hamna namna. Toeni sheria tutii full stop...
Mmmh sasa mbona madesa yanayuchanganya? Tuishi na nyie kwa amani au hamtKi mnataka vurugu 🙌🙌🙌
 
Wanaume nje mnaonekana mashujaa sana ila mioyo yenu ni milaini mno kama theluji...huyeyuka dkk chache na kuumaliza mwili wote...ndipo hapo magonjwa huwanyemelea na mwisho kufa mapema..

Vitabu vya dini havikukosea kuwaambia muishi nasi kwa akili...
Hii statement ni nzito sana nadhani wanaoweza kufumbua fumbo la akili zipi na azitumie vipi juu ya mkewe ataishi kwa amani na maisha marefu...

Shida ya wanaume wa sasa ni kujifanya kuishi kizungu hapa nadhani mnaelewa...wenzenu wazungu wana ndoa za mikataba hawataki kufa mapema...la sivyo fateni maisha waliyoishi ma baba zetu na mama zetu...hebu rudini vijijini kwa mababu basi muulize how to live with a woman kama mtaona noma kuwauliza wazazi wenu labda mtapata hints...

Tunawapenda jamani waume zetu...ishini na sisi kibabe tuu hamna namna. Toeni sheria tutii full stop...
Nawawinda sana wanawake majeuri siwapati
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.


#hamtusikilizagi tukiongea huku Kaka zenu, mnajidai mnajua kupenda, wanawake tabu sana
 
Mmmh sasa mbona madesa yanayuchanganya? Tuishi na nyie kwa amani au hamtKi mnataka vurugu 🙌🙌🙌
Inahitaji akili ya kubalance mambo...
Acha uzungu uzungu mambo ya mke mwache ayafanye ww fanya yako..
 
Back
Top Bottom