Mke wangu ananiletea Usuperstar

Mke wangu ananiletea Usuperstar

Men date down while women date up. Wanawake wa kizazi hiki kasumba yao ni kutafuta vitu vilivyo nje ta uwezo wao na juu ya uwezo wao.

Kosa ulilofanya ni kum'upgrade mwanamke wako ukiamini unafanya wema bila kujua kwa kufanya hivyo una mdhoofisha eneo la kukutii wewe.

Malengo yako sijui yalikuwa ni yapi ila ulichofanya tafsiri yake ni kwamba unataka mwanamke awe bora zaidi maeneo mje ya uhusiano wenu jambo ambalo umefanikiwa sasa kwa kumfanya ajione bora zaidi na anahitajika huko nje kuliko hapo ndani kwenu.

Msomeshe mtoto wa kiume awe na maisha bora ajenge familia bora, somesha mtoto wa kike awe na maisha bora awe single mother na kuongeza kizazi cha nyoka kwenye jamii.
Kinachonishangaza huyu jamaa, kama alitaka mwanamke msomi kwanini asingeenda kuchumbia mwanamke ambaye tayari ni msomi kuliko kwenda kuokota lingumbaru na kujipa kazi ya kulisomesha wakati Lina wazazi? Mbona wapo mabinti kibao tu ambao ni wasomi na wanahitaji kuolewa!?

Hii tabia ya ku-take advantage kwa kusolve matatizo ya mtu ambaye yuko disadvantaged muda mwingine naona imekaa kionevu sana na ni ya kishenzi na dunia Huwa inawapa malipo stahiki yao watu wa dizaini hii.
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Duh! Mkuu pole sana.

Ulimsomesha level gani?
 
Sema mwanamke mweny elimu ,suala la kumuheshimu mumewe nj kipengele haswa mfanyakazi.


Kun mzungu mmoja alisema "Tunaishi ofisini tunapofanya kazi na kutembelea nyumbani kwetu" akiwa na maana mda mwingi watu wanakuwa ofisini na kufanya interaction na watu ,lakini mtu atembeleq nyumbani yaani akirudi ni kulala tu na asubuhi anatoka tena.

Short and clear ,watu wanatumia mfa mwingi kazini kuliko nyumbani, sasa ogopa mke anayefanya kazi.
Kuna watu hasa wanawake hawanaga shukrani. Jiulize inapofikia lijimama lina mtoto wa miaka 25, maisha mazuri nyumba magari mashamba,maduka linahonga wanaume,hela linasomesha na lenyewe watoto wa mahawara,hatimae linabambwa likituma picha za utupu kwa mwanaume mwingine. Yaacheni yalivyo yanajijua yenyewe
[emoji16]
 
Naona hii ni kweli sister Tayana-wog wanawake nyie ni dhaifu sana mkikosa attention kwa mwanaume hata kwa mwanaume ambaye hauna uhusiano naole wa kimapenzi.

mfano, Nishawakaushia wanawake kadhaa ambao tunajuana lakini hatuna uhusiano wowote wa kimapenzi, baadaye nikagundua wanajisikia vibaya mimi kutowasilimia. Yaani mwanamke hawezi kushindana na mwanaume.
Hiyo ndo Hali halisi
🤣🤣
Hata tukikaza ni Ile hatutaki kuonyesha
 
Wanaume nje mnaonekana mashujaa sana ila mioyo yenu ni milaini mno kama theluji...huyeyuka dkk chache na kuumaliza mwili wote...ndipo hapo magonjwa huwanyemelea na mwisho kufa mapema..

Vitabu vya dini havikukosea kuwaambia muishi nasi kwa akili...
Hii statement ni nzito sana nadhani wanaoweza kufumbua fumbo la akili zipi na azitumie vipi juu ya mkewe ataishi kwa amani na maisha marefu...

Shida ya wanaume wa sasa ni kujifanya kuishi kizungu hapa nadhani mnaelewa...wenzenu wazungu wana ndoa za mikataba hawataki kufa mapema...la sivyo fateni maisha waliyoishi ma baba zetu na mama zetu...hebu rudini vijijini kwa mababu basi muulize how to live with a woman kama mtaona noma kuwauliza wazazi wenu labda mtapata hints...

Tunawapenda jamani waume zetu...ishini na sisi kibabe tuu hamna namna. Toeni sheria tutii full stop...
Bandiko lako limejaa madini sana ndugu na ndio sululisho la yanayoendelea kwenye taasisi ya ndoa.

Ila kwa bahati mbaya hii version ya mwanaume uliyoielezea kama ndio mwarobaini wa changamoto zote wanaume tunazopotia kwenye ndoa inapigwa vita sana na jamii.

Mwanaume yeyote yule anayeishi kwa kuafuata pillars za mfumo dume ni adui mkubwa kwenye jamii, jamii yetu ya kileo mwanaume kama huyo inamuita toxic man na tayari imesha mredefine mwanaume halisi yukoje.

Na huyo mwanaume jamii ambaye jamii inampigia chapuo ndio huyo ambaye wanawake mna msumbua sana. Kwa ufupi jamaa ya kileo inampa promo mwanaume dhaifu.

Na hata nyie wanawake wa kileo tayari mmeshafundishwa kujihami dhidi ya mwanaume anayeishi kizamani, hivyo ni vigumu sana kuishi kama mababu zetu katika jamii hii ambayo tayari imeuangusha mfumo wa maisha walioishi mababu zetu, ni sawa na wewe mkristu kuishi kwenye mji uliojaa waislamu halafu unataka uwe unakula kitimoto kila siku, utakula sawa lakini kwa tabu sana na hautakuwa comfortable.
 
Kuna siku natembea stockholm Sweden nikapishana na jamaa anaongea kiswahili kwenye simu anang'aka akisema kama anakusumbua kwanini usimfumue tu marinda umkomoe na umpoteezee.

Nilicheka kwa sauti jamaa akageuka kuniangalia naye kuangua kicheko cha hatarii. Sikusimama nikanyoosha with stitches.

The Icebreaker
Kuna mtu anakuja huko
 
Duh[emoji22]
Sipendi Mimi haya mambo
Sijui tuna shida gani wanawake [emoji119]
Mpotezee Kwa muda,usiombe unyumba kabisa,piga kimya!
Mwanamke wa hivyo ukimpotezea kumuomba unadhani atashtuka? Ilishawahi kunikuta hiyo,nilipotezea mpk ikafika mahali nikapoteza hisia na yeye kabisa hata avue nguo zote mbele yangu hata sishtuki.
Akaanza kulalamika yeye sasa hapo ishapita miezi sita (6) tunalala tu kama dada na kaka.
Ikafika mahali akawa anataka yeye mimi mood ilishakata tena hata afanye nini mawazo yangu hayapo.
Akaanza kulalamika kuwa eeeh wameshakuloga huko nje [emoji22] nikawa naishia kutabasamu tu.
Vikaendelea vingi mpk ikafika mahali nikaaga mashindano nikaanza maisha yangu mengine.
Ukishasaidia watu wa namna hii umejipalia makaa kichwani Jiandae.
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Boss Pole kwa yaliyokupata,hii hali ya kusahau walikotoka huwa inawakuta Wanawake wengi ambao waliokotwa kutoka ktk hali ngumu ya kimaisha,wanapopata mafanikio Kidogo tu,basi huanza majivuno na,dharau kwa watu na kwa wale waliowawezesha.Mimi imewahi kunitokea nilimsaidia ndugu yangu wa kike lkn Matokeo yake hadi leo hakuna mawasiliano,Nina jamaa zangu wengi yamewakuta pia.Wewe shukuru amekuzalia hata Watoto.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke wa hivyo ukimpotezea kumuomba unadhani atashtuka? Ilishawahi kunikuta hiyo,nilipotezea mpk ikafika mahali nikapoteza hisia na yeye kabisa hata avue nguo zote mbele yangu hata sishtuki.
Akaanza kulalamika yeye sasa hapo ishapita miezi sita (6) tunalala tu kama dada na kaka.
Ikafika mahali akawa anataka yeye mimi mood ilishakata tena hata afanye nini mawazo yangu hayapo.
Akaanza kulalamika kuwa eeeh wameshakuloga huko nje [emoji22] nikawa naishia kutabasamu tu.
Vikaendelea vingi mpk ikafika mahali nikaaga mashindano nikaanza maisha yangu mengine.
Ukishasaidia watu wa namna hii umejipalia makaa kichwani Jiandae.
Pole sana mkuu
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Hivi mleta mada ni mgeni hapa jf? Mwanamke hasomeshwi! Ukimsomesha fanya kana kwamba umemsaidia kama sadaka! Unapomsomesha mtu unampa uwezo wa kujitambua na pia uwezo wa kiuchumi na kama mtu hajielewi ni rahisi kusahau alikotoka! Watu wanasahau wazazi sembuse wewe?
 
Wanaume nje mnaonekana mashujaa sana ila mioyo yenu ni milaini mno kama theluji...huyeyuka dkk chache na kuumaliza mwili wote...ndipo hapo magonjwa huwanyemelea na mwisho kufa mapema..

Vitabu vya dini havikukosea kuwaambia muishi nasi kwa akili...
Hii statement ni nzito sana nadhani wanaoweza kufumbua fumbo la akili zipi na azitumie vipi juu ya mkewe ataishi kwa amani na maisha marefu...

Shida ya wanaume wa sasa ni kujifanya kuishi kizungu hapa nadhani mnaelewa...wenzenu wazungu wana ndoa za mikataba hawataki kufa mapema...la sivyo fateni maisha waliyoishi ma baba zetu na mama zetu...hebu rudini vijijini kwa mababu basi muulize how to live with a woman kama mtaona noma kuwauliza wazazi wenu labda mtapata hints...

Tunawapenda jamani waume zetu...ishini na sisi kibabe tuu hamna namna. Toeni sheria tutii full stop...
Upo sahihi! Maana ya kuishi na nyie kiakili ni pamoja na kuwa na ustahimilivu. Ni kujua kuwa hata mwanamke anapotoka. Kuwa na uvumilivu (akili) katika ndoa ni jambo la muhimu. Akipanda wewe jishushe kiakili, nakuapia kuishi na mwanamke ni kazi. Mascout hunena ‘be prepared’, kuishi na mwanamke kunatakiwa kuwa na tathimini ya haraka kwa kila jambo analolifanya au neno analosema. Ukiona kuna hatari mbele, Jaribu kuizuia mapema ili isilete matatizo mbeleni. Ukiona dalili za kutokuheshimu jua kuna kidume kinammendea au kimeonja; kidhibiti mapema. Uzuri wa wanawake kama bado anakupenda, atasitisha! Ukibweteka akazoea, ameondoka huyo. Ila Baadae atajuta kwa uamuzi wake, which will be too late.

Sie tupo nao mwaka wa 36 lakini hakuna rangi hatujaona. Pamoja na uzee bado tunaishi nao kwa akili.

Piga ua ndiyo marafiki zetu wakubwa, pamoja na mizengwe yote.

Kwa ambao hawajaoa, oa mwanamke ambaye anaona fahari kuolewa nawe, si yule unayeona fahari kumuoa.
 
Amekuzalia watoto wangapi? Kama ni zaidi ya wawili ndo malipo yako mshukuru Mungu! Wengine wanafanya drama hata kuzaa hazai! Akijitahidi kamoja! Mxiuuuh! Unakuwa umepigwa mara mbili!
 
Back
Top Bottom