Mke wangu ananiletea Usuperstar

Mke wangu ananiletea Usuperstar

Kuna siku natembea stockholm Sweden nikapishana na jamaa anaongea kiswahili kwenye simu anang'aka akisema kama anakusumbua kwanini usimfumue tu marinda umkomoe na umpoteezee.

Nilicheka kwa sauti jamaa akageuka kuniangalia naye kuangua kicheko cha hatarii. Sikusimama nikanyoosha with stitches.

The Icebreaker
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ulimsomesha..?..🤔🤔🤔

Fanya maamuzi haraka
Lakini hajapoteza sana, kasomesha mzazi mwenzake. Mbaya kama wangekuwa hawajazaa, angekua kasomesha mchumba, kitu ambacho hatushauriwi!
 
Upo sahihi! Maana ya kuishi na nyie kiakili ni pamoja na kuwa na ustahimilivu. Ni kujua kuwa hata mwanamke anapotoka. Kuwa na uvumilivu (akili) katika ndoa ni jambo la muhimu. Akipanda wewe jishushe kiakili, nakuapia kuishi na mwanamke ni kazi. Mascout hunena ‘be prepared’, kuishi na mwanamke kunatakiwa kuwa na tathimini ya haraka kwa kila jambo analolifanya au neno analosema. Ukiona kuna hatari mbele, Jaribu kuizuia mapema ili isilete matatizo mbeleni. Ukiona dalili za kutokuheshimu jua kuna kidume kinammendea au kimeonja; kidhibiti mapema. Uzuri wa wanawake kama bado anakupenda, atasitisha! Ukibweteka akazoea, ameondoka huyo. Ila Baadae atajuta kwa uamuzi wake, which will be too late.

Sie tupo nao mwaka wa 36 lakini hakuna rangi hatujaona. Pamoja na uzee bado tunaishi nao kwa akili.

Piga ua ndiyo marafiki zetu wakubwa, pamoja na mizengwe yote.

Kwa ambao hawajaoa, oa mwanamke ambaye anaona fahari kuolewa nawe, si yule unayeona fahari kumuoa.
Nitajuaje Kama anaona fahari kuolewa nami mkuu[emoji120]
 
Kabla hujamfanyia mwanamke yoyote mema unatakiwa ujue kuwa mwanamke kwenye mapenzi ana standard ndio maana ni rahisi kukuta mwanamke kichaaa ana mimba kuliko kukuta mwanaume kichaa kamjaza mimba demu na unatakiwa ujue we are all children of conditions of environment and circumstances so usimuamini mtu 100%.
Lakini wengine wanaolewa wakiwa na standard ya chini sana,
 
Kwa kuhubiriana uongo humu hamjambo.....usimfikirie mwanamke blaa bla mwanamke sio kitu fyo fyo fyooo hebu kesho angalia tu hapa Mmu thread kumi za siku nani kaanzisha na anamlilia nani, hakuna kama papuchi hakunaaa jazaneni upepo tu ila haka kakitu ndo mwisho wenu
[emoji1787][emoji1787]

Evelyn me nakupenda
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwakuwa hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yaani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kuwa nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Mnagawana kiroho safi mbona kiwepesi sana? Mmefunga ndoa au ndio ulimuendeleza kusoma sheria na sasa anakutisha?
 
KUANZA UPYA SIO UJINGA.

KATIKA JAMBO AMBALO WANAUME TUNAPASWA KUFANYA MAAMUZI MAPEMA, NI KUACHA MWANAMKE ASIYEKUFAA.



MUACHE MARA MOJA ...MWANAUME NI HESHIMA.

HUYO KESHAANZA KUKUSALITI, HAUNA THAMAN KWAKE, NDIO MAANA ANAKUDHARAU.
 
Kuna wakati hapa duniani inabidi uwe na tabia za kishetani Ili kudeal na watu kama hao . Ukijifanya Yakobo itakula kwako
 
Mlishaambiwa kama umeamua kumsomesha mwanamke msomeshe ufundi cherehani

Ona sasa wahuni wanakukazia
Binafsi sioni shida ya kusomesha mwanamke niliye zaa naye.
Ni faida kwa mwanao/wanao. Kama hujazaa naye kusomesha ihesabiwe kama zawadi .
 
Back
Top Bottom