Mke wangu ananinyima tunda, natafuta mpenzi mtu mzima kwa mahusiano ya kujengana kimapenzi na maisha

Mke wangu ananinyima tunda, natafuta mpenzi mtu mzima kwa mahusiano ya kujengana kimapenzi na maisha

Master Kutu

Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
77
Reaction score
174
Habari ya leo wana jukwaa wenzangu,
Mke wangu hataki kunipa tunda hata niki muuliza kila siku anakuwa na sababu tofauti mara nime choka, mara leo naumwa nashindwa kuelewa kwanini ananifanyia hivyo yaani nabaki na maumivu yangu.

Na ukianagalia sijawahi kuwa na mpenzi wa nje kwahyo ni jambo linalo nisumbua na hata kufanya masterbation sijui namna ya kufanya maana sijawahi hivyo nabaki na maumivu kwakweli nateseka sana

Nimeona nije hapa jukwaani kutafuta mpenzi kwa ajiri ya kusaidiana mambo mbali mbali yanayo husu maisha na mahusiano kiujumla.

Mimi naishi Dar,
Umri wangu mimi miaka 30
Kazi yangu mjasiriamali.

Sichagui dini wala kabila
Umri wake kuanzia miaka 32 nakuendelea
Awe anaishi Dar

Awe mtu anaye jali hisia za mwenzake na anajua maana ya mahusiano na mapenzi ya kweli

Aliye tayari karibu pm tuyajenge
 
Changamoto sana hiyo kama ni kweli,ila unachotaka kufanya sio solution ya kudumu,utakuwa tu umefungua milango kwa michepuko...
 
Na we acha kumpa matumizi, utalishaje mbuzi majani afu supu anywe mwingine. Kifupi kwa hali ivyo mara nyingi inakuwa mwanamke hakuelewi shoo zako na tayari kuna mwamba anapiga kibabe. Sasa akili ya wanawake ameshakupima akaona anakuweza kwa hiyo hakupi tunda anamtunzia jamaa ili awe anakuta mzigo haujapwaya pwaya. Huyo ukienda nae ligi atakusumbua we acha tu kumpa matumizi. Kwa upande wangu niliwahi kuwa napangiwa hadi marafiki wa kuongea nao nilipofatilia nikabaini ambao hawataki wanamjua nilichokifanya nikawaambia masela halafu nikawa nashinda home akiomba hela ya mboga namwambia sina kuna dili alinipa fulani nimeikataa, nawataja ambao hataki niwe nao karibu. Akawa anapika dagaa chukuchuku namwambia siwezi kula hzo nado kijana sana kula kisa nimekosa. Akashangaa siku 3 zinapita nipo tu sili wala sinywi nikitoka dakika 5 najiacha mama ntilie. Siku ya nne gesi ikakata nikasema ewaaa. Nikamwangalia tu. Badae nikext jamaa yangu anipitie alipofika nkamwambia sitoki. Aliposepa mwanamke ananiuliza mwenzio anakuita hutaki na unaona gesi hamna. Nikamwambia huyo umekataza mazoea nae. Mbona baada ya hapo alinyooka.
 
Na we acha kumpa matumizi, utalishaje mbuzi majani afu supu anywe mwingine. Kifupi kwa hali ivyo mara nyingi inakuwa mwanamke hakuelewi shoo zako na tayari kuna mwamba anapiga kibabe. Sasa akili ya wanawake ameshakupima akaona anakuweza kwa hiyo hakupi tunda anamtunzia jamaa ili awe anakuta mzigo haujapwaya pwaya. Huyo ukienda nae ligi atakusumbua we acha tu kumpa matumizi. Kwa upande wangu niliwahi kuwa napangiwa hadi marafiki wa kuongea nao nilipofatilia nikabaini ambao hawataki wanamjua nilichokifanya nikawaambia masela halafu nikawa nashinda home akiomba hela ya mboga namwambia sina kuna dili alinipa fulani nimeikataa, nawataja ambao hataki niwe nao karibu. Akawa anapika dagaa chukuchuku namwambia siwezi kula hzo nado kijana sana kula kisa nimekosa. Akashangaa siku 3 zinapita nipo tu sili wala sinywi nikitoka dakika 5 najiacha mama ntilie. Siku ya nne gesi ikakata nikasema ewaaa. Nikamwangalia tu. Badae nikext jamaa yangu anipitie alipofika nkamwambia sitoki. Aliposepa mwanamke ananiuliza mwenzio anakuita hutaki na unaona gesi hamna. Nikamwambia huyo umekataza mazoea nae. Mbona baada ya hapo alinyooka.
Unaongea tu kwakuwa hujui,mimi si wa dakika 5 kama unavo sema na nisinge weza kuweka kila kitu hapa.
Kwa ufupi ni kwamba yeye ana sema haji sikii na hana hisia mimi nakuwa nahitaji kila siku hisia muda wote zipo sasa yeye hana hisia anacho niambia issue si hizo dk.5 unazo ongea mimi niko vizuri sana mambo mengine huwezi jua ikiwa kwako kuna maelewano hongera usifikirie swala hilo kuwa ni changamoto japo kweli inawasababishia watu baadhi Ila si mimi na nna uhakika 💯% hana huyo mtu unaye mtaja muda wote yuko nyumbani napia simu yake hamna anaye tuma sms wala kupiga nna uwezo wa kushinda na simu yake na hakuna chochote nayeye hana number za simu za watu nisio wafahamu.Changamoto inayo msumbua ni kuwa hana hisia si kwamba ana mtunzia mtu hilo si kweli binafsi nna uwezo wa kwenda zaidi hata ya mara 2 kwa wakati mmoja mimi si mnyonge kiivo unavo ongea mkuu.
 
Unaongea tu kwakuwa hujui,mimi si wa dakika 5 kama unavo sema na nisinge weza kuweka kila kitu hapa.
Kwa ufupi ni kwamba yeye ana sema haji sikii na hana hisia mimi nakuwa nahitaji kila siku hisia muda wote zipo sasa yeye hana hisia anacho niambia issue si hizo dk.5 unazo ongea mimi niko vizuri sana mambo mengine huwezi jua ikiwa kwako kuna maelewano hongera usifikirie swala hilo kuwa ni changamoto japo kweli inawasababishia watu baadhi Ila si mimi na nna uhakika 💯% hana huyo mtu unaye mtaja muda wote yuko nyumbani napia simu yake hamna anaye tuma sms wala kupiga nna uwezo wa kushinda na simu yake na hakuna chochote nayeye hana number za simu za watu nisio wafahamu.Changamoto inayo msumbua ni kuwa hana hisia si kwamba ana mtunzia mtu hilo si kweli binafsi nna uwezo wa kwenda zaidi hata ya mara 2 kwa wakati mmoja mimi si mnyonge kiivo unavo ongea mkuu.
Ulilazimisha kumuoa ama?
 
Habari ya leo wana jukwaa wenzangu,
Mke wangu hataki kunipa tunda hata niki muuliza kila siku anakuwa na sababu tofauti mara nime choka, mara leo naumwa nashindwa kuelewa kwanini ananifanyia hivyo yaani nabaki na maumivu yangu.

Na ukianagalia sijawahi kuwa na mpenzi wa nje kwahyo ni jambo linalo nisumbua na hata kufanya masterbation sijui namna ya kufanya maana sijawahi hivyo nabaki na maumivu kwakweli nateseka sana

Nimeona nije hapa jukwaani kutafuta mpenzi kwa ajiri ya kusaidiana mambo mbali mbali yanayo husu maisha na mahusiano kiujumla.

Mimi naishi Dar,
Umri wangu mimi miaka 30
Kazi yangu mjasiriamali.

Sichagui dini wala kabila
Umri wake kuanzia miaka 32 nakuendelea
Awe anaishi Dar

Awe mtu anaye jali hisia za mwenzake na anajua maana ya mahusiano na mapenzi ya kweli

Aliye tayari karibu pm tuyajenge
 
Unaongea tu kwakuwa hujui,mimi si wa dakika 5 kama unavo sema na nisinge weza kuweka kila kitu hapa.
Kwa ufupi ni kwamba yeye ana sema haji sikii na hana hisia mimi nakuwa nahitaji kila siku hisia muda wote zipo sasa yeye hana hisia anacho niambia issue si hizo dk.5 unazo ongea mimi niko vizuri sana mambo mengine huwezi jua ikiwa kwako kuna maelewano hongera usifikirie swala hilo kuwa ni changamoto japo kweli inawasababishia watu baadhi Ila si mimi na nna uhakika 💯% hana huyo mtu unaye mtaja muda wote yuko nyumbani napia simu yake hamna anaye tuma sms wala kupiga nna uwezo wa kushinda na simu yake na hakuna chochote nayeye hana number za simu za watu nisio wafahamu.Changamoto inayo msumbua ni kuwa hana hisia si kwamba ana mtunzia mtu hilo si kweli binafsi nna uwezo wa kwenda zaidi hata ya mara 2 kwa wakati mmoja mimi si mnyonge kiivo unavo ongea mkuu.
Hujawajua wanawake vizuri mkuu. Unachonikosa kwenye pointi ni kuwa unaamini hana hisia ila ukweli HANA HISIA NA WEWE. Siku ukipata mwanga usinisahau soda. Ishu ya kutopigiwa simu wa sms isikuaminishe kuwa hana mtu japo simaanishi ana mtu maana sijamuona ila kwa maelezo yako ni wazi unafugia watu.
 
Back
Top Bottom