Mama D Mimi ni Mume tena kipanga.Pole sana Kaparare
Kabla hujauliza kama hapo kuna mke wewe ni nani? Nafasi ya mwanaume haiombwi wala kudaiwa sababu ni amri kumtii mume.
Halafu inakuaje kumnyima mume jameni😅😅😅 au wewe ndio umemuondolea hamu sasa unalalamika😳😳
Huna ushaidi je na yeye akisema ulikuwa Una taka Tigo ndiyo maana alikuwa ana kikatalia?Yeye ndo anakataa kutoa unyumba. Mimi namrudisha kwasababu ameshindwa kutimiza matakwa ya Ndoa.
Safi bonge la dedication kama ilikuwa mfano huo aamue peke yakeKabla ya kumuoa ilikuwaje?
Ded : Marehemu Lucky Dube Song: its not easy
Mama D Mimi ni Mume tena kipanga.
Mwenyewe tu ameamua kuninyima mzigo.
Nakubaliana na wadau wanaosema upendo ni 0.0%
Huyu ni wa kupiga chini lwa taratibu za kifamilia.. Anza kwanza vikao na ndugu zakeWasalamu wakuu.
Ni hivi, huyu binti kanichosha.
Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.
Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!
Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.
Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.
Hapa nilipo Sina hamu tena.
Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.
Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.
Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]
Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Happy new yearDemi kama demi
Pambana na Hali yako unafanya maamuzi kwa mihemkoHatukakaa kwenye Uchumba. Nilifahamiana nae kwa muda wa wiki Moja nikaoa. Maana nilienda kuoa Kikabila huko kijijini kwetu. Hata kukutana nae tulikutanishwa na Wakubwa wetu.
Ndio inavyokuwaga😅 wakati we unafosi upewe mbunye kuna msela anaipiga tena analazimishiwa kupelekewa kila saa mpaka ameichoka.Hapo utakuta kuna kubwa linapewa vyotee kiulaini
Mnaoaje kimila karne ya 21 hii? Mila ni kumfuga mwanamke kwa mwaka au zaidi akieleweka unalipia! Sio unataftiwa mwanamke humjui hakujui wala hajakupenda lazma moto uwake.mimi wangu nilimpata kwa njia kama yako, na kwa yanayo kupata nikama yakwangu tu, yani ni tabu nanimeshindwa nafikili kumpa uhuru wake tu mana ni balaa
Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
Uchumba wa level ya degree!😅Kosa lilianzia hapo huyo alikuwa ni WA part time tu. Mke wa kuoa anachunguzwa sana Mimi tulikuwa uchumba miaka 3. Huyo siyo mke wa kuishi naye. Watu wazima wamenielewa
Aseee kumbe hiz mambo bado zpo, n her uchague mwnyewe kuliko kuchaguliwa! Pole sanaaHatukakaa kwenye Uchumba. Nilifahamiana nae kwa muda wa wiki Moja nikaoa. Maana nilienda kuoa Kikabila huko kijijini kwetu. Hata kukutana nae tulikutanishwa na Wakubwa wetu.
Dah haya mambo n changamoto mnoo adseNdio inavyokuwaga[emoji28] wakati we unafosi upewe mbunye kuna msela anaipiga tena analazimishiwa kupelekewa kila saa mpaka ameichoka.
Siku akienda hajaliwa ndio anakuletea wewe upambane kumtoa genye ila hisia zinakuwa za mkopo[emoji28]