Mke wangu ananinyima unyumba, haniheshimu na anatoa siri zetu za ndani kwa nduguze

Mke wangu ananinyima unyumba, haniheshimu na anatoa siri zetu za ndani kwa nduguze

Daah sasa alikubali vipi kuolewa na Mimi.
Kwa jinsi ulivyo eleza, hakukubali. Ila alilazimika kuolewa na wewe kwa sababu ya mazingira. Ila ndugu yangu uache ushamba...hayo mambo ya kununua mbuzi kwenye gunia yamepitwa na wakati. Hapo hakuna ndoa, na ukiendelea kung'ang'ania utajilaumu baadae.
 
Hapana hakuwa bikra
hii ni bonge la mistake, kwenda kuoa kijijini kwenu halafu bado hukuoa bikra ulijichanganya, ukikuta demu wa kijijini below 20 yrs siyo bikra usioe, kwann hukumuuliza mkuu, kama angekua bikra ni kawaida kugomea mbususu zile siku za mwanzo kwasababu bado anakua na maumivu ya kutolewa bikra, yaani kwao akiona giza linaingia anawaza mgegedo utakuaje, lakin after 1 week unaanza kupewa mzigo wote maana anakua ashazoea
mm nlioa huko lakini si kwa haraka hivyo, nilifahamiana nae almost 3months, swali la kwanza nlilomuuliza 1st time tunawasiliana ni kama alikua bikra au la, kwa mila zetu ukigonga mwanamke kabla ya kumuoa hiyo ndoa inakua ya misuko suko sana, kwahiyo nlipojiridhisha vizuri tukakubaliana namtorosha kwanza anakuja kwangu nachapa mbususu kama kweli ni bikra maisha ya ndoa yanaanzia hapo akiwa siyo bikra kesho yake nampa nauli asepe, na akienda kwao atajua mwenyewe aseme alikua wapi, akasema sawa

mpaka hapa tunapozungumza nina watoto wawili na kipenzi changu mke wangu, ndoa imenyooka kama rula,
 
Wasalamu wakuu.

Ni hivi, huyu binti kanichosha.

Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.

Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!

Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.

Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.

Hapa nilipo Sina hamu tena.

Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.

Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.

Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]

Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Mpandishe cheo awe Bi Mkubwa
 
Nasisitiza,,, acheni kuoa wakuu,,, malalamiko yamekuwa mengi sana mbona..

Sasa wew unanyimwa unyumba,,, ujue kuna mwana huko anapewa yote hadi tiGo rusha...

Halafu pia vip unajiweza kiuchumi.!?? Au ndio tia maji tia maji hapakuchi panakucha kidogo chetu kikubwa cha bakhresa.

Nidhamu italetwa na pesa.... Hilo la unyumba pia linaweza letwa...

Ila bila kupepesa macho,,, Mkuu hupendwi.
Hapo mwisho umetaja ukweli wenyewe. Huyo si wa kujenga familia. Yupo kwako kimaslahi na ndio maana anakwambia hana haraka ya kuzaa. Hataki kujifunga na wewe kwa mtoto sababu hana ndoto za kuzeeka na wewe.
 
Wasalamu wakuu.

Ni hivi, huyu binti kanichosha.

Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.

Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!

Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.

Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.

Hapa nilipo Sina hamu tena.

Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.

Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.

Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]

Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Ulifeli hata kabla haujaanza. Hayo unayoyaona sasa ndo matokeo! Msingi wa ndoa unajengwa kabla haujaingia sio ukishaingia, lazima mwanamke ajue una msimamo dhabiti otherwise hatakuheshimu.
 
Pole sana Wiki moja ni muda mfupi sana jaribu kuwashirikisha hao wakubwa waliokufanyia mpango, Mungu akusaidie.
 
Wasalamu wakuu.

Ni hivi, huyu binti kanichosha.

Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.

Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!

Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.

Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.

Hapa nilipo Sina hamu tena.

Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.

Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.

Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]

Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?

Swala gumu Sana Kwa wanaume Ni kujua kwamba hata Kama umeoa; ili mwanamke akupe unyumba Lazima awe Kwenye pick ya Furaha, ndo maana wanandoa wengi tu wanabakana!

Kufurahia unyumba Kwenye ndoa Ni Matokeo ya maisha ya Amani ya ndoa; ndivyo wanawake walivyoumbwa na sio kosa Lao; kabisa: ili mwanamke awe na amani:

- Hatakiwi kuwaza au kuwaza kuhusu maitaji, ndo maana wanaume Lazima tujitosheleze, sio pesa nyingi Sana, kujitosheleza tu.

- Usiwe na gubu na Ma ugomvi yasiyoisha, epusha kabisa, ukiona huwezi maisha ya Amani na mwanamke hata Kama ana matatizo, mpuuze au tafuta mwingine, WANAMLA tu!
 
Wasalamu wakuu.

Ni hivi, huyu binti kanichosha.

Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.

Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!

Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.

Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.

Hapa nilipo Sina hamu tena.

Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.

Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.

Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]

Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?


Pole sana Kaparare

Kabla hujauliza kama hapo kuna mke wewe ni nani? Nafasi ya mwanaume haiombwi wala kudaiwa sababu ni amri kumtii mume.

Halafu inakuaje kumnyima mume jameni😅😅😅 au wewe ndio umemuondolea hamu sasa unalalamika😳😳
 
Back
Top Bottom